EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
ni mwanaume mmoja tu hapa duniani ana sifa hizo si mwingine bali ni BASHITE na LE MUTUZ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
All the best.....tulianzaga na mbwembwe tulivyongia JF😆😆😆...baadae tukawa wapole tu...😆..nasubiria nione utakavyoanza kuwa mpole...😆
Jitathmini kwanza kiuhalisia unahitaji nini na wapi umekwama katika mahusiano baina ya jinsi, la utapata "stress" bure.My name is khadija ,nina miaka 20 plus. Ni muda mrefu kidogo nmejiunga JF ila nlikuwa napenda zaidi kusoma kuliko kupost au comment chochote.
Kuna watu ambao nmejifunza mengi kwao nikawapenda kuwa marafiki na kutaka kuwa na marafiki wenye sifa kama zao.
Nahitaji Boyfriend (rafiki wa kiume toka Jamiiforums ) awe member zaidi ya Mwaka mmoja ( ili nisome threads zake zote nimfahamu tabia yake)
Awe na sifa nyingi kama za GuDume. Mcheshi,mtu wa stories ( mimi si muongeaji napenda kusikiliza) mwenye vituko na mwenye kujiamini.gudume ana sifa za my ideal man.ila nasikia ameoa.
Awe na utulivu hata akitukanwa kama Joseverest au wakati mwingine Mshana Jr. Ingawa tatizo la mshana ni hayo mambo yake ya shirki ila kutotukana ni jambo jema.
Awe na elimu ya kuanzia Diploma at least. Mwenye uwezo mzuri wa kuzungumza kiingereza. Hili nmeliona kwa GuDume na Nyani Ngabu. Napenda mwanaume anayezungumza au andika kiingereza vizuri.
Kuna mwanaume mwingine anaitwa Sodoku naye nmemsoma na kumwona anaonekana anajali familia yake na mtulivu pia napenda a man with those qualities.
Kuna mwanaume anaitwa Kiduku Lilo huyu anaonekana kuwa na pesa ila mjeuri na mwenye majidai sana.sipendi mwanaume mwenye dharau sana. Ila napenda awe anajiamini.huyu pamoja na kujiamini lakini ana dharau kwa maskini.
Napenda nipate boyfriend mwenye kufuatilia siasa pia kama anavyofanya pascal mayala anaonekana kuwa na ufaham mzuri wa siasa na kufuatilia kwa ujumla.
Mimi ni mdada ambaye nmemaliza chuo mwaka jana. Nmeajiriwa bado naishi kwa wazazi. Nina marafiki wachache sana na sijawahi kuwa na mpenzi na sihitaji kwa sasa.
Nahitaji tu marafiki wa kiume ambao nitashare nao mambo mawili matatu ya maisha hasa baada ya kujikuta napoteza marafiki wengi wa kike sababu wengi wao wanafiki na wenye wivu.
Nimeamua kutafuta marafiki wa kiume baada ya kugundua rafiki yangu wa karibu sana zaidi ya miaka mitatu kumbe amekuwa akipokea pesa kwa wanaume ili wanipate.akitumia jina langu kupata pesa kwao kama ni mimi ndo namtuma.
Nliamua kuachana naye baada ya kugundua hilo kwa wanaume zaidi ya watatu.
Sipendi ukaribu na mtu mwnye akili za kitoto.so i need somebody who is matured.anayefaham maisha na si mpuuzi au mtoto mtoto...sipendi kuwa hata karibu na mwanaume au mwanamke mwenye mdomo mchafu (matusi) kama mmoja wa member humu ndani ambaye naye nimemsoma mara nyingi akitukana au kutishia kutukana wenzie wanapompinga.
Hivyo kama utakuja na matusi sitohangaika kukujibu.napenda tuhehsimiane na kila mtu amheshimu binadamu mwenzie.
Ni hayo tu marafiki zangu.
Of course, kasema mwenyewe anawafahamu wakongwe.
Changamoto za humu ndani unaweza kukuta unatongoza ID mbili tofauti kumbe ni mtu mmoja, anakuchora tu.
Ndiyo maana nimejikita sehemu moja tu, kwako tu.
Siendi kokote, ndo nishafika. Huko kwa Bi Khadija nimepapenda pia, maana pamesababisha competition yangu kwako ipungue.
Nabaki hapa hapa kwako. Habari za Klopp tumeachana nazo tokea jana.
Kwa hiyo umetulia kwangu kuepusha kutongoza ID zaidi ya mbili za mtu mmoja?
Basi unaonekana kingereza chako ni cha kukariri. Hivi unajua kuna Britons ambao hawajui kiingereza?
CC. kantwe
hapana mkuu,siwezi kufanya hivyo,lol..i am not that strong/courageous kuyaanika Maisha yangu hapa....nawapa hongera zao wote waliokuwa interviewed...lol
Nimefurahi 😊
Nimetulia kwako kwa sababu una kila nachokitaka kutoka kwa mwanamke.
Swala la sisi kutongoza huwa halihusiani na issue za mapenzi, sometimes tunafanya kuwapa comfort jinsia tofauti ili asijione tofauti, au tunakuwa tunatest bargaining/negotiations skills kama bado ziko active.
Shikamoo mkwe!Sasa unatafuta boyfriend au huhitaji mahusiano kwa sasa mbona hueleweki bibie
Huo mstari wa juu 👐👐
Hahahah sawa bhana endeleeni kutest ila msifanye kweli
Marhaba mwanangu uko mzima?Shikamoo mkwe!
Ni kweli sio vizuriHata testing kuna muda unaachana nazo.
It's not health sometimes, kuna mtu unaweza kufanya testing halafu akachukulia kama umemaanisha na akajaa, ukijitoa unakuta umemuumiza.
Mimi binafsi nimeacha kufanya tests hizo, maana najikuta baadae naanza kuona guilty.
Ni kweli sio vizuri
Unatest kwa mtu ambaye alikuwa anakupenda akisubiri siku umwambie kumbe wewe unatania
Umefanya vizuri kuacha