Nahitaji connection ya kazi yoyote anayoweza kufanya mdada Mwanza

Nahitaji connection ya kazi yoyote anayoweza kufanya mdada Mwanza

Kutongozwa unaogopa, so mbona umejizibia ridhiki hata kwa me wenzako Ina Mana hawawezi kukutafuta
 
Umri wako. Umeaomea nini. Kiwango cha elimi. Hayo ni mambo muhimu sana kukufanyia wepesi kwa wenye nafasi ya kukusaidia.

All the best
 
Ngoja nikutongoze hapa tukielewana nitakuja PM alafu baadae kwa simu.
 
Ndo mambo sipendi

Ma comment kama haya ndo yanafanya wengine waogope kusema shida zao na huku kweli wana shida.
Toa ushirikiano unapoulizwa kitu na usiwe na hasira humu hivyo ni vitu vya kawaida humu usichukulie kila kitu serious kuna watu tofauti tofauti otherwise nakutakia mapambano mema

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
 
Habari za muda huu kwenu nyote.
Mimi ni mdada naishi Mwanza (elimu naona hata uzito kusema ndo maana Natafuta kazi yoyote ila isiwe ya bar, but anyway nina degree)

Naomba Kwa yoyote mwenye kufahamu ninapoweza kupata kazi yoyote ya halali anayoweza fanya mdada, mkoani Mwanza aniunganishe wapendwa maisha yanakua magumu mno, nahitaji kupata kazi nisukume walau gurudumu.

Asanteni.
Uko mwza Town???
 
Ni bongo pekee mtu anaomba kazi lakn kuweka wasifu wake hataki (CV)

Sasa hao wanaotaka kukuajiri waoteee umesomea kitu gani

Zpo Kaz znahtaj umri Fulani elimu Fulani

Mwisho wa siku utasikia dada yetu Naye ana PhD Kama Babu tale
 
Ni bongo pekee mtu anaomba kazi lakn kuweka wasifu wake hataki (CV)

Sasa hao wanaotaka kukuajiri waoteee umesomea kitu gani

Zpo Kaz znahtaj umri Fulani elimu Fulani

Mwisho wa siku utasikia dada yetu Naye ana PhD Kama Babu tale
Ndugu yangu vyote hivyo najua nilipaswa kuweka ili kurahisisha, haipaswi mtu kuanzia kuniuliza na wakati mi ndo nina shida.
Sema kilichonifanya nikaja hapa bila kutaja nilichosomea ni kutokana na experience ya niliokutana nao na kuwaomba kuhusu kazi, anakuulizia umesomea nini? unamuambia ukishamuambia tu mawasiliano hayaendelei unaona kimya, hiyo kitu inaumiza mnoo ni bora unamuambia tu mtu kazi ya profession yako hamna kuliko ku mute, ndio maana nimekuja nikiomba kazi yoyote tu hata kuuza duka bila kujali nilichosomea.
 
Back
Top Bottom