Ndugu yangu vyote hivyo najua nilipaswa kuweka ili kurahisisha, haipaswi mtu kuanzia kuniuliza na wakati mi ndo nina shida.
Sema kilichonifanya nikaja hapa bila kutaja nilichosomea ni kutokana na experience ya niliokutana nao na kuwaomba kuhusu kazi, anakuulizia umesomea nini? unamuambia ukishamuambia tu mawasiliano hayaendelei unaona kimya, hiyo kitu inaumiza mnoo ni bora unamuambia tu mtu kazi ya profession yako hamna kuliko ku mute, ndio maana nimekuja nikiomba kazi yoyote tu hata kuuza duka bila kujali nilichosomea.