Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,663
Ayaa, daaa! Tatizo uko mbali, bathi tena[usiofu quen
Kwanini wanakuoneshea dharau?Sijui wanafanya hvo wakimaanisha nini! Lakini nimekuja kugundua hawapend niwe na amani!
Habar zenu wana bodi! Nimekuwa niko sirias kias kwamba watu wa karibu yangu wananiogopa ua kukaa mbali na mimi, Marafiki nilioko nao wananionyesha dharau ikiwa ni pamoja na ubinafsi! Kitu ambacho sipendi kitokee! Ningependa kuwa na kampani kwa maana ya marafiki na si lingine! Yaan nimekua mkiwa sababu ya ubinafsi ninaoonyeshwa na jamaa zangu! Hivyo naitaji kampani yako sana pls Niko Arusha! KARIBUNI!
Ayaa, daaa! Tatizo uko mbali, bathi tena[usiofu quen
AYA
Hivi wewe ndio yule jamaa huwa anakuwa kule jukwaa la stress na BAN...???[ hilo jukwaa silijui mkuu! ufafanuzi zaid labda ningekuelewa
ni wewe tu wanakufanyia huo ubinafsi au kuna na wengine......? [Sidhan kama kuna wanaowafanyia hizo mambo! Maana ktk kuongea na wengne unajua kabisa hapa hakuko sawa!
hilo jukwaa silijui mkuu! ufafanuzi zaid labda ningekuelewa
Hivi wewe ndio yule jamaa huwa anakuwa kule jukwaa la stress na BAN...???
Jukwaa la siasa...[nimekupata mkuu!
Kwanini wanakuoneshea dharau?Sijui wanafanya hvo wakimaanisha nini! Lakini nimekuja kugundua hawapend niwe na amani!
umewazidi kipato au wao ndio wamekuzidi? Coz vipato navyo huchangia mtu kudharaulika
umewazidi kipato au wao ndio wamekuzidi? Coz vipato navyo huchangia mtu kudharaulika[ Katika mapato sidhani kama tunalingana! Inawezekana ninawazd kwa maana nikifanya ki2 wao huishia kukitoa kasoro!
Dr heri ya Mei Mosi..........
Huyu kule ndo nyumbani kwake..
Swadakta Dr Preta...hivi unajua nimekukosa sana mimi, sijui nikuje huko Yaeda Chini...