Mmmh sijui ila nadhani huwezi kufosi urafiki. Hata humu kuna "marafiki wa kalamu", hawajuani physically lakini wanakuwa marafiki tu..wakati huo kuna watu hawaivi japo hawafahamiani.Hapana sometimes unatakiwa kuonesha interest
Kuna msemo siku hizi vijana wanasema "URAFIKI BILA PESA, LABDA JELA".watu wapya ambao tutasaidiana Mambo mbali mbali
Kama unauhakika una mahusiano na unasikia upweke kihasi cha kihataji kampani kama uliyoomba kuna matatizo kwenye mahusiano yako au psychology yako.Sometimes I'm all I need sipo single
Picha ya nini kwa mwanaume mwenzakoPicha yako
Bro punguza stressKama heading inavyojieleza Mimi ni kijana wa kitanzania mpweke haswa sina marafiki in real life. Niko hapa kuomba urafiki na watu wapya ambao tutasaidiana Mambo mbalimbali.
Anyone who is interested PM nikupatie number yangu tuwe tunawasiliana.
ASANTENI
I kneenly only to God but idon't him In this Generation
View: https://youtu.be/cqRMZi5nQMo?si=jlolYIoKbAw0aCak wanini fanya yako bossy maisha haya nikupotezeana muda , maisha na katika life hili rafiki yupo mbinguni tu na pia kama unababa na mama wafanye mabest zako ndio wako pekee
Nmeshangaa hajui hajafa hajaumbika
Wazamani umewapeleka wapi?Kama heading inavyojieleza Mimi ni kijana wa kitanzania mpweke haswa sina marafiki in real life. Niko hapa kuomba urafiki na watu wapya ambao tutasaidiana Mambo mbalimbali.
Anyone who is interested PM nikupatie number yangu tuwe tunawasiliana.
ASANTENI
Hahaaa haaa hutaki rafiki joblessKwanza tuambie kama muajiriwa au mfanyabiashara. Hatutaki mambo ya kuanza kupigana mizinga. You should have something to offer no time to waste Man.