Beer nakunywa mno maombi sipendi kabisa ushangazi wako sio mbaya miaka yako sio Mingi Sana tunaweza kuwaRafiki hebu eleza kidogo sifa zako ili anaekutafuta aone kama urafiki utaleta maana.....
Umri, elimu, kazi, familia kama unayo, hobbies zako nini wapenda nini haupendi. Urafiki ni pamoja na kuendana.....
isijekua hapa mimi mshangazi wa
45 rafiki ana 17, napenda 🍺 rafiki anapenda maombi masaa yote huu urafiki utakua wa njiwa na kunguru, hauexist.
Mmh hapana, mie mtu mwenye gubu simuwezi hata kwa urafiki.....Ndiyo nilivyo Anza kunizoea rafiki
Unaona sasa kumbe maombi haupendi, mie ni maombi maombi na mimi....ndio maana nmekuambia weka wasifu upate wa kufanana naoBeer nakunywa mno maombi sipendi kabisa ushangazi wako sio mbaya miaka yako sio Mingi Sana tunaweza kuwa
Bar iwe ya 10 kweli??Marafiki hawaombwi utakua disappointed.
Chagua hobby mbili tatu, uko ndio utapata wana.
Mfano:
1. Kanisani
2. Msikitini
3. Mpira
4. Jogging
5. Vibanda umiza
6. Betting Office
7. Movies
8. Kusoma vitabu
9. Nenda kanywe kahawa za kishua
10. Bar
nk
Huyu ndio wale ukifanyanae kazi kwa siku mbili anaanza kukuita 'Rafiki yangu'Marafiki hawaji kwa kutafutwa, inatakiwa ije naturally.
"Mtu mzuri" ukimaanisha uzuri kwenye nini???Kwani kusema vile ndiyo gubu Ila Mimi ni mtu mzuri tu
They turned the page to know more about you,but you was not ready to be known,you find better to burn the book,what you was hiding them?They Turned the page I burned the book
Tatizo mizinga inakuwa mingi badala ya kuomba fursa au kujifunza.Hahaaa haaa hutaki rafiki jobless
Haya kila laheri, upate marafiki ...I'm Good even no one is looking sio pretender
Mie rafiki angu pesaNa wewe ukiwemo itapendeza