Nahitaji dada wa kazi

Status
Not open for further replies.
Weka mawasiliano watu wakutafute
 
Yupo mwanza,nilikuwa namhitaji mimi ila nimeshapata mwingine, ukimhitaji nicheki
 
Ongeza hela
Unalipa pesa ndogo
Jitahidi mueathamini wanaowalelea watoto
Ulikua kwenye mawazo yangu mkuu, mimi ninao wadada wawili, mmoja kwaajili ya mtoto na mwingine kwaajili ya kazi za mdani na kila mmoja namlipa 100k
 
Ongeza kidogo Babaa jukumu la kulea mtoto kama wake na kazi zingine motisha iwepo babaaa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…