Nahitaji dada wa kazi

Nahitaji dada wa kazi

Status
Not open for further replies.
Dada wa kazi anahitajika, eneo la kazi ni Dodoma. Majukumu ni kukaa na mtoto mmoja na kazi ndogo ndogo za nyumbani.

Posho yake ni 70,000/= kwa mwezi.

Awe anajitambua.

Tuwasiliane inbox 📥
Do salaaleh, MTU anayejitambua anakubali mshahara wa 70,000 kwa mwezi?
Kwa mshahara huoutawapata lkn ujue hawajitambui. Elewa mtu asiyejitambua utamuacha na mwanao mchana kutwa.
 
Do salaaleh, MTU anayejitambua anakubali mshahara wa 70,000 kwa mwezi?
Kwa mshahara huoutawapata lkn ujue hawajitambui. Elewa mtu asiyejitambua utamuacha na mwanao mchana kutwa.
Ila kumbuka 70k ni T.H.
Ni nje ya gharama za kula, usafiri, kulala, matibabu na mavazi(kwa wengine).
 
Dada wa kazi anahitajika, eneo la kazi ni Dodoma. Majukumu ni kukaa na mtoto mmoja na kazi ndogo ndogo za nyumbani.

Posho yake ni 70,000/= kwa mwezi.

Awe anajitambua.

Tuwasiliane inbox 📥
Pamoja na kitita hicho cha posho pia ni muhimu zaidi kijua kitita cha mshahara, weka wazi kuhusu mshahara.
 
Do salaaleh, MTU anayejitambua anakubali mshahara wa 70,000 kwa mwezi?
Kwa mshahara huoutawapata lkn ujue hawajitambui. Elewa mtu asiyejitambua utamuacha na mwanao mchana kutwa.
Hiyo 70,000/= ni posho tofauti na mshahara.
 
Ila kumbuka 70k ni T.H.
Ni nje ya gharama za kula, usafiri, kulala na mavazi(kwa wengine).
Huwa inashangaza mnoo mkuu. Asilimia kubwa wanalipwa kati ya 30 mpaka 50. Na wachache ni 70 mpka laki. Tunaona huko uraiani, lakini wenzetu wakiwa hapa jf wanajifanya matawi kinoma
 
Do salaaleh, MTU anayejitambua anakubali mshahara wa 70,000 kwa mwezi?
Kwa mshahara huoutawapata lkn ujue hawajitambui. Elewa mtu asiyejitambua utamuacha na mwanao mchana kutwa.
70k mbona nyingi, kuna wanaolipwa 50k,
Angalieni maisha ya ki Tz
 
Dada wa kazi anahitajika, eneo la kazi ni Dodoma. Majukumu ni kukaa na mtoto mmoja na kazi ndogo ndogo za nyumbani.

Posho yake ni 70,000/= kwa mwezi.

Awe anajitambua.

Tuwasiliane inbox 📥
Akijitambua hatokubali posho ya Ths 70000.
 
Huwa inashangaza mnoo mkuu. Asilimia kubwa wanalipwa kati ya 30 mpaka 50. Na wachache ni 70 mpka laki. Tunaona huko uraiani, lakini wenzetu wakiwa hapa jf wanajifanya matawi kinoma
Kwa hiyo elfuelfu zikiwa sabini ni malipo manono?Wanalipwa hivyo kwa sababu ya umasikini tu.
 
Matangazo ya ajira. Za ndaani ziendane na picha za nyumba husika
 
Do salaaleh, MTU anayejitambua anakubali mshahara wa 70,000 kwa mwezi?
Kwa mshahara huoutawapata lkn ujue hawajitambui. Elewa mtu asiyejitambua utamuacha na mwanao mchana kutwa.
Anakula kwa boss
Malazi
Akitaka kwenda kwao boss anamlipia
Matibabu
Mahitaji madogo madogo vocha, mafuta etc

Tuwe wakweli offer yake ni nzuri. Mtaani huku wengi ni 50k tu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom