NgimbaErick
Senior Member
- Mar 31, 2020
- 108
- 167
Asanteni Nimeshapata!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mrefu au mfupi..?🤣Mweupe au mweusi
Mnene au mwembamba?mrefu au mfupi..?🤣
Kwanini asilipweKwa usalama wa huyo dada itabidi nawewe ufanyiwe interview!, baadae isije kesi mtu hajalipwa!
Wewe niyoyote tu cha msingi uaminifu
sababu ni kitu muhimu zaidiWewe ni
kingunge au kibopar, mbona neno uaminifu umelijaza peji?
Sasa unamfokea nani...😕Sijaelewa ni nini dhamira ya hizi comments , je nimeongea kitu offensive au ni kwamba kazi hii ni kwa ajili ya mabinti tu?
ninauliza swali labda kuna changamoto mahaliSasa unamfokea nani...😕
Achana nao Mkuu. Watakupasua kichwa Bure. 😄Sijaelewa ni nini dhamira ya hizi comments , je nimeongea kitu offensive au ni kwamba kazi hii ni kwa ajili ya mabinti tu?
Nina Mke ila hayupo kwa sasa kutokana na uzazi, na nyumba yangu ni kubwa. Pia nipo busy sanaFanya uoe mkuu
Hamna changamoto yeyote mkuu, sema umejizungusha sanaaa.....😜ninauliza swali labda kuna changamoto mahali
mkeo ndio alikua dada wakazi?Nina Mke ila hayupo kwa sasa kutokana na uzazi, na nyumba yangu ni kubwa. Pia nipo busy sana