Nahitaji dada wa usafi wa nyumbani

Nahitaji dada wa usafi wa nyumbani

Jamani mbona tunakatishana tamaa Watanzania wenzangu , tunasaidiana kama hivi ila watu wanaongea vitu vya kero sana 😂😂 ... Kwa hali hii tutaendelea kugawana tenda kwa undugu asee, maana duuh bado kidogo nifute yani ni kama nimetukana mahali. Hii post nimekopy na kupaste labda inamakosa mnasema.

Au mnataka dada zetu waendelee kuzagaa zagaa mitaani jamani. eeh?
 
Back
Top Bottom