NgimbaErick
Senior Member
- Mar 31, 2020
- 108
- 167
- Thread starter
- #21
Hapana alikuwa Mke wangu anayetunza nyumba yetu na familia.mkeo ndio alikua dada wakazi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana alikuwa Mke wangu anayetunza nyumba yetu na familia.mkeo ndio alikua dada wakazi?
ajiri dada wakazi acha ubahiriHapana alikuwa Mke wangu anayetunza nyumba yetu na familia.
Mke ni mke. Dada wa kazi ni dada wa kazi. Kila mmoja ana majukumu yake Chief.Fanya uoe mkuu
Uwaah!mkeo ndio alikua dada wakazi?
anaetaka dada wakazi niwewe sio wewe?Jamani mbona tunakatishana tamaa Watanzania wenzangu , tunasaidiana kama hivi ila watu wanaongea vitu vya kero sana 😂😂 ... Kwa hali hii tutaendelea kugawana tenda kwa undugu asee, maana duuh bado kidogo nifute yani ni kama nimetukana mahali. Hii post nimekopy na kupaste labda inamakosa mnasema.
Au mnataka dada zetu waendelee kuzagaa zagaa mitaani jamani. eeh?
Wife hataki kasema 🫤ajiri dada wakazi acha ubahiri
huku hawapo kila mtu ana fensi yake utaenda kuomba mke wa mtu?Mtaani wapo kibao,wamama wa kufua na kuosha vyombo.
mkeo jobless eeeWife hataki kasema 🫤
kwamba mwamba aanike mbupu lifanyiwe trimming huku angle zikizingatiwa😀😀Usafi atakao fanya hautafkia kiwango cha yule balozi wa Zambia nchini South Africa?
Hana haja ya kufanya kazi kampuni inamtunza 😬mkeo jobless eee
kampuni gani?Hana haja ya kufanya kazi kampuni inamtunza 😬
Kwa hiyo kukosekana kwa mke wako ndiyo kunakufanya ushindwe kufanya usafi wa nyumba, kufua nguo zako, kujipikia, kuosha vyombo, nk!! Umejilemaza sana kijana.Nina Mke ila hayupo kwa sasa kutokana na uzazi, na nyumba yangu ni kubwa. Pia nipo busy sana
😅 unataka ajira?kampuni gani?