Nahitaji dawa ya kupunguza nguvu za kiume

Masaa manne ndio unaona big Issue wakati wenzio tunakesha usiku kucha, Hayo mambo ya Threesome ni ushenzi uliopitiliza hata wanyama hawafanyi.
Waislam tunaruhusiwa kuoa 4 lakini hizo mambo za threesome au Foursome zimeharamishwa, kila mmoja unampiga kivyake si kuwakusanya na kubanjua wakati mmoja
 
Mkuu yaan nikifika masaa manne mwenzangu anakua ashachoka ila mimi bado sijatosheka kabisa alafu kumbuka hapo ni non-stop hakuna kupumzika
 
Ongeza wake dingii.
 
Pata ajira/biashara kwanza mkuu maana ID yako inasema unatafuta ajira, ukiwa busy hutokaa kifuani masaa manne...
 
Pata ajira/biashara kwanza mkuu maana ID yako inasema unatafuta ajira, ukiwa busy hutokaa kifuani masaa manne...
Ajira natafuta mkuu ila naweza nisiipate leo wala kesho sasa kipindi hiki ambacho sina ajira nitaishi vp, kwamba nisikutane na mwenzangu mpaka nipate ajira
 
Kumbe hata humu mpo
 
Hakuna namna Dawa ni Kuhasiwa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…