Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Kazi ya laki nne hujaipata kwa kulazimisha upewe 600k na bado uko mtaani 😂kama mtaongeza waalau 600k tunaweza kaa mezani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi ya laki nne hujaipata kwa kulazimisha upewe 600k na bado uko mtaani 😂kama mtaongeza waalau 600k tunaweza kaa mezani
Yes brother, laki 4 na nilipata. Unajua shida ni nini ndugu? Wapo machalii wengi kitaa wamemaliza degree za IT, kila wanapoenda kuomba kazi wanaambiwa wanahitajika wenye uzoefu wa angalau miaka 2, option nyingine ni wafanye internship sehemu na walipwe nauli tu au pengine wasilipwe kabisa! Si ni afadhali mimi kufanya nao kazi kama intern kwa mshahara wa laki 4 ??? Na isitoshe hiyo laki 4 ni mwanzo tu, siwezi mlipa developer laki 8 au +1M ikiwa ni fresh from school kisa ana degree, ndio maana nilisisitiza UJUZI kwasbabu graduates wengi wanajua baadhi ya languages tu za coding lakini hawawezi kuunda hata software moja ikakamilika kwa urahisi. Na ndio maana mimi nikatafuta programmers 3 kwa laki 4 each, na software developer mmoja kwa 1.5M ili arekebishe na aunganishe kile kinachosukwa na hawa madogo! Anyways vile tunavyosuka vitawekwa hapa pia wakati wa ku-launch.Developer umlipe laki 4 kweli?