Nahitaji faraja yenu wakuu. Kuachana na mtu unayempenda ni msiba mzito

Nitumie namba PM.. hutojutia faraja nitayokupa
 
Punguza mahaba kwa movie za wahindi na wafilipino wale wanaigiza tu, utaja kufa kimasihara mchana kweupe.

Mapenzi ya namna hiyo waachie kanga na njiwa.
 
Kwa nini unataka kulazimisha mapenzi?
 
Wadada mnavunja KANUNI no.1#

Hata iweje mwanaume asije kukutia nyumbn kwako na kulala (jitahd labda umeonyeshe kwa kidole palee ndio umepanga utaepuk na mengi

Hata kam utaachik haitokuuma nenda kalale na wanaume huko Gest au kwake kadiri unavyoon ila c kwako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ