Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 6,682
- 11,461
Kwa ushauri wa haraka anza mazoezi ya viungo....Nilikuwa kwenye mahusiano karibia miaka miwili mwanaume hataki nifike anapoishi mwaka huu nimelazimisha kwenda kwake anapoishi amenitukana sana na kunifukuza na panga pamoja rung..
Eti anashikiwa panga anasema anampenda bado ๐น๐น๐นHahahahaha
Nitumie namba PM.. hutojutia faraja nitayokupaNilikuwa kwenye mahusiano karibia miaka miwili mwanaume hataki nifike anapoishi mwaka huu nimelazimisha kwenda kwake anapoishi amenitukana sana na kunifukuza na panga pamoja rungu.
Nilijipa muda akaomba msamaha ila mawasiliano yalikuwa hafifu juzi mwezi huu wa 7 nilimpa taarifa kuwa nitakuwa kikazi Dar ( mkoa anaofanya kazi) alinieleza kuwa nisifike kwake nifanye tu kazi iliyonileta.
Nililazimisha kwenda anapoishi alinipokea kishingo upande ila alinitukana sana na kutishia kuniletea polisi. Asubuhi nilienda kwenye majukumu yangu niliporudi kwake nikakuta amevusha mwanamke.
Majirani walinisikitikia sana wanasema kuwa hiyo ni tabia yake kubadilisha wanawake kila siku hasa bar maids! Nilipomkuta huyo mwanamke ndani nilijisikia vibaya nikatoa ya moyoni kwa huyo mchumba wangu na kuondoka Nimekubali tu yaishe nisije kupata maradhi kwa kung'ang'ania mwanaume mwenye wanawake wengi !
Hapa niliponinayo namaumivu yasiyo elezeka kwa sababu amenioneshea live huyo mwanamke! Majirani wananieleza afadhali hata umeona mwenyewe kuliko wangesema wao tabia yake ya kubadilisha wanawake hasa bar maids .
Huyu aliyekuwa mchumba wangu ni mfanyakazi wa serikali anaepata seminar mikoa mbalimbali ila kila siku ananiomba pesa ninavyomdai anazua ugomvi. Baadhi ya majirani wanasema ni tabia ya kuhongwa na wanawake (anapenda mserereko) kweli nimeamini fimbo ya mbali haiui nyoka
NAHITAJI FARAJA YENU WAKUU KUACHANA NA MTU UNAYEMPENDA NI MSIBA MZITO
Asante mkuu nitajitahidi kuanza mazoeziKwa ushauri wa haraka anza mazoezi ya viungo....
Mazoezi yatakuweka busy utasahau haraka.
Huyo atakuwa mkurya ndiomana haogopi kupigwa kwao ni sehemu ya mapenzi ๐น๐น๐นMoyo kazi yake kusukuma damu, yeye ametumia kupenda....
Punguza mahaba kwa movie za wahindi na wafilipino wale wanaigiza tu, utaja kufa kimasihara mchana kweupe.Nilikuwa kwenye mahusiano karibia miaka miwili mwanaume hataki nifike anapoishi mwaka huu nimelazimisha kwenda kwake anapoishi amenitukana sana na kunifukuza na panga pamoja rungu.
Nilijipa muda akaomba msamaha ila mawasiliano yalikuwa hafifu juzi mwezi huu wa 7 nilimpa taarifa kuwa nitakuwa kikazi Dar ( mkoa anaofanya kazi) alinieleza kuwa nisifike kwake nifanye tu kazi iliyonileta.
Nililazimisha kwenda anapoishi alinipokea kishingo upande ila alinitukana sana na kutishia kuniletea polisi. Asubuhi nilienda kwenye majukumu yangu niliporudi kwake nikakuta amevusha mwanamke.
Majirani walinisikitikia sana wanasema kuwa hiyo ni tabia yake kubadilisha wanawake kila siku hasa bar maids! Nilipomkuta huyo mwanamke ndani nilijisikia vibaya nikatoa ya moyoni kwa huyo mchumba wangu na kuondoka Nimekubali tu yaishe nisije kupata maradhi kwa kung'ang'ania mwanaume mwenye wanawake wengi !
Hapa niliponinayo namaumivu yasiyo elezeka kwa sababu amenioneshea live huyo mwanamke! Majirani wananieleza afadhali hata umeona mwenyewe kuliko wangesema wao tabia yake ya kubadilisha wanawake hasa bar maids .
Huyu aliyekuwa mchumba wangu ni mfanyakazi wa serikali anaepata seminar mikoa mbalimbali ila kila siku ananiomba pesa ninavyomdai anazua ugomvi. Baadhi ya majirani wanasema ni tabia ya kuhongwa na wanawake (anapenda mserereko) kweli nimeamini fimbo ya mbali haiui nyoka
NAHITAJI FARAJA YENU WAKUU KUACHANA NA MTU UNAYEMPENDA NI MSIBA MZITO
Wewe bado kuna kitu hujafanyiwa ndio maana unazungumza hivyo, subiri ukishafanyiwa ndio utaelewa maumivu ya mleta MadaEti anashikiwa panga anasema anampenda bado ๐น๐น๐น
Kuna raia wanapenda vibaya, mimi nikiona mtu anatukana simtaki tena.!!
Yeye panga katulia anaona kawaida
acha anitumie namba nimpe faraja.. hahaha! Sasa hivi natoa faraja kwa walio achika na wasio pendwaa.. bure kabisaa na huko kitaa ukiona sa hivyo waunganishe na mieHuyo atakuwa mkurya ndiomana haogopi kupigwa kwao ni sehemu ya mapenzi ๐น๐น๐น
Fumanizi la waziwaziNa Wewe ulifumania?
๐น๐น๐น kushikiwa panga??Wewe bado kuna kitu hujafanyiwa ndio maana unazungumza hivyo, subiri ukishafanyiwa ndio utaelewa maumivu ya mleta Mada
Tuko pamoja mkuu akupe namba ๐น๐น๐นacha anitumie namba nimpe faraja.. hahaha! Sasa hivi natoa faraja kwa walio achika na wasio pendwaa.. bure kabisaa na huko kitaa ukiona sa hivyo waunganishe na mie
Hujawahi kukojoa mara 3 3 Wewe ndio maana unasema๐น๐น๐น kushikiwa panga??
Hivi nyie panga mnalichukuliaje??
Kwa nini unataka kulazimisha mapenzi?Nilikuwa kwenye mahusiano karibia miaka miwili mwanaume hataki nifike anapoishi mwaka huu nimelazimisha kwenda kwake anapoishi amenitukana sana na kunifukuza na panga pamoja rungu.
Nilijipa muda akaomba msamaha ila mawasiliano yalikuwa hafifu juzi mwezi huu wa 7 nilimpa taarifa kuwa nitakuwa kikazi Dar ( mkoa anaofanya kazi) alinieleza kuwa nisifike kwake nifanye tu kazi iliyonileta.
Nililazimisha kwenda anapoishi alinipokea kishingo upande ila alinitukana sana na kutishia kuniletea polisi. Asubuhi nilienda kwenye majukumu yangu niliporudi kwake nikakuta amevusha mwanamke.
Majirani walinisikitikia sana wanasema kuwa hiyo ni tabia yake kubadilisha wanawake kila siku hasa bar maids! Nilipomkuta huyo mwanamke ndani nilijisikia vibaya nikatoa ya moyoni kwa huyo mchumba wangu na kuondoka Nimekubali tu yaishe nisije kupata maradhi kwa kung'ang'ania mwanaume mwenye wanawake wengi !
Hapa niliponinayo namaumivu yasiyo elezeka kwa sababu amenioneshea live huyo mwanamke! Majirani wananieleza afadhali hata umeona mwenyewe kuliko wangesema wao tabia yake ya kubadilisha wanawake hasa bar maids .
Huyu aliyekuwa mchumba wangu ni mfanyakazi wa serikali anaepata seminar mikoa mbalimbali ila kila siku ananiomba pesa ninavyomdai anazua ugomvi. Baadhi ya majirani wanasema ni tabia ya kuhongwa na wanawake (anapenda mserereko) kweli nimeamini fimbo ya mbali haiui nyoka
NAHITAJI FARAJA YENU WAKUU KUACHANA NA MTU UNAYEMPENDA NI MSIBA MZITO
Sasa kukojoa na kushikiwa panga kuna uhusiano gani?? ๐น๐น๐นHujawahi kukojoa mara 3 3 Wewe ndio maana unasema
hahaha.. namsubiri PM tu... nimpe faraja la kibabe.. muhimu location na awe na pesa za kutumia kumfariji..Tuko pamoja mkuu akupe namba ๐น๐น๐น
Kukojoa utamu wake anaujua anaekojoaSasa kukojoa na kushikiwa panga kuna uhusiano gani?? ๐น๐น๐น