thundercat8
Senior Member
- Nov 25, 2015
- 172
- 384
Kipenda roho kimekula nyama kuozaHakuna cha fimbo ya mbali, kitendo cha kukukatalia usiende kwake ni wazi hakutaki, ila ukajifanya mama mapendo,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipenda roho kimekula nyama kuozaHakuna cha fimbo ya mbali, kitendo cha kukukatalia usiende kwake ni wazi hakutaki, ila ukajifanya mama mapendo,
Asante mwalimu wangu 😎Kazi nzuri sanaaa
Haya unadhani kila pisi ni pesa tu, sasa adate na pesa wakati juu hapo kaandika binti ndo alikua anampa pesa kijana..Amedata na pesa pamoja na status ya jamaa, acha liuwawe tuu, tamaa mbele mauti nyuma
ACHA kujibebesha mizigo isiyokuhusu..Nilikuwa kwenye mahusiano karibia miaka miwili mwanaume hataki nifike anapoishi mwaka huu nimelazimisha kwenda kwake anapoishi amenitukana sana na kunifukuza na panga pamoja rungu.
Nilijipa muda akaomba msamaha ila mawasiliano yalikuwa hafifu juzi mwezi huu wa 7 nilimpa taarifa kuwa nitakuwa kikazi Dar ( mkoa anaofanya kazi) alinieleza kuwa nisifike kwake nifanye tu kazi iliyonileta.
Nililazimisha kwenda anapoishi alinipokea kishingo upande ila alinitukana sana na kutishia kuniletea polisi. Asubuhi nilienda kwenye majukumu yangu niliporudi kwake nikakuta amevusha mwanamke.
Majirani walinisikitikia sana wanasema kuwa hiyo ni tabia yake kubadilisha wanawake kila siku hasa bar maids! Nilipomkuta huyo mwanamke ndani nilijisikia vibaya nikatoa ya moyoni kwa huyo mchumba wangu na kuondoka Nimekubali tu yaishe nisije kupata maradhi kwa kung'ang'ania mwanaume mwenye wanawake wengi !
Hapa niliponinayo namaumivu yasiyo elezeka kwa sababu amenioneshea live huyo mwanamke! Majirani wananieleza afadhali hata umeona mwenyewe kuliko wangesema wao tabia yake ya kubadilisha wanawake hasa bar maids .
Huyu aliyekuwa mchumba wangu ni mfanyakazi wa serikali anaepata seminar mikoa mbalimbali ila kila siku ananiomba pesa ninavyomdai anazua ugomvi. Baadhi ya majirani wanasema ni tabia ya kuhongwa na wanawake (anapenda mserereko) kweli nimeamini fimbo ya mbali haiui nyoka
NAHITAJI FARAJA YENU WAKUU KUACHANA NA MTU UNAYEMPENDA NI MSIBA MZITO
Kabisa,lakini pia fimbo ya mbali haiui nyoka pia kipenziHakuna cha fimbo ya mbali, kitendo cha kukukatalia usiende kwake ni wazi hakutaki, ila ukajifanya mama mapendo,
ACHA kujibebesha mizigo isiyokuhusu..
Acha "nature" ifanye kazi yake...
"support panapohitajika na unapoweza (usijiumize)
Jipe muda wa kupona moyo na akili yako..sawa mkuu
Lakini huyu anaisingizia fimbo ya mbali ni mapendo yake tuKabisa,lakini pia fimbo ya mbali haiui nyoka pia kipenzi
Unakubali vipi mwanaume mwenzio anakuzaba kofi msela Roja?real meaning of upendo wa agape
Nilizabwa tu kofi nmegoma kusamehe hadi leo,we mwenzetu hadi panga unashikiwa na unasamehe🙌🏾
SureLakini huyu anaisingizia fimbo ya mbali ni mapendo yake tu
Thubutuuu.!! Mi mwanaume akifoka tyuuu namuacha itakuwa kushikiana machete 😹😹😹Hahahahaha..we si nasikia unasemaga Niue mie siendi popote, 😅😅😅. ..unavyopenda
Hahahahaha, ya kweli haya Rafiki ?Thubutuuu.!! Mi mwanaume akifoka tyuuu namuacha itakuwa kushikiana machete 😹😹😹