Nahitaji freezer la kilo 400

Nahitaji freezer la kilo 400

Ooooh poor you nasikitika kuhairisha mjadala huu sababu inawezekana you are running mad.

Tumia basi common sense kidogo we jamaa.

1Kg ya samaki na 1litre ya distilled water ni tofauti sababu ya density? Seriously!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Duuh kwahiyo mizani haiwezi kubalance?

Oooh Lord have Mercy kama mie wa HKL naweza toa knock out kichwa ya PCM
Nadhani mnabishana katika logic tofauti,kuna swala la ujazo( volume) na kuna swala la uzito(weight).
 
Wakuu Habari

Nahitaji Freezer kwa ajili ya kuweka samaki but nataka ambalo ni kubwa linaloweza kubeba hata kilo 400

Naitaji jipya sio mtumba,

Mwenye nalo tafadhali ni_PM niko Dar es Salaam
Za muda? Friza la lita 450 limepatikana.
Used bei poa.
Tshs 550,000 tu
Nitumie sms 0744033555 nikutumie picha whatsapp

IMG-20210130-WA0040.jpg
 
Back
Top Bottom