Nadhani mnabishana katika logic tofauti,kuna swala la ujazo( volume) na kuna swala la uzito(weight).Ooooh poor you nasikitika kuhairisha mjadala huu sababu inawezekana you are running mad.
Tumia basi common sense kidogo we jamaa.
1Kg ya samaki na 1litre ya distilled water ni tofauti sababu ya density? Seriously!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Duuh kwahiyo mizani haiwezi kubalance?
Oooh Lord have Mercy kama mie wa HKL naweza toa knock out kichwa ya PCM
We jamaa una akili sanaNadhani mnabishana katika logic tofauti,kuna swala la ujazo( volume) na kuna swala la uzito(weight).
Za muda? Friza la lita 450 limepatikana.Wakuu Habari
Nahitaji Freezer kwa ajili ya kuweka samaki but nataka ambalo ni kubwa linaloweza kubeba hata kilo 400
Naitaji jipya sio mtumba,
Mwenye nalo tafadhali ni_PM niko Dar es Salaam
Watu mna masihara samaki kilo mia nne watakaa humu?Za muda? Friza la lita 450 limepatikana.
Used bei poa.
Tshs 550,000 tu
Nitumie sms 0744033555 nikutumie picha whatsapp
View attachment 1690071
Lete linalofaa mkuuWatu mna masihara samaki kilo mia nne watakaa humu?
Mkuu freezer used tunapata?Andaa kunzia laki 4.
Ukiwa nayo kwwnye mfuko wa shati nishtue tufanye biashara