Nahitaji Gari ya Toyota yenye Engine Six Cylinder but ulaji Mzuri wa Mafuta

Nahitaji Gari ya Toyota yenye Engine Six Cylinder but ulaji Mzuri wa Mafuta

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Kuna gari ambazo nimekuwa nikitumia lakini kwa sasa nataka nibadilishe gari. Nahitaji gari ambayo ni ya Toyota iwe 6 Cylinder. CC zikianzia 2000+ ni sawa. Sijui kama kuna ambayo inaweza kuwa below that. Ila iwe gari stable barabarani na fuel consumption yake iwe economy.

Gari ambayo naweza enda nayo Arusha nikageuza to Dar. Au Mbeya nikageuza to Dar kesho yake au Mwanza kesho yake nikageuza to Dar.

Hii natakata iwe naitumia mimi anytime nikitakiwa kuamsha popo naamsha. Shughuli zangu zinanifanya nisafiri sana gari nilizo nazo moja inabaki ya wife,nyingine watoto na nyingine ni kubwa zaidi kusafiri nayo kila mara.

Nahitaji ushauri wenu katika hili. Iwe Toyota ili nisisumbuke na spares kama hii gari nyingine kubwa huwa mikoa mingine hawana spares.
 
Toyota
model:Harrier old model

fuel type😛etrol
Gear: Automatic
Mileage:180km/hr
year:1999
Cc :2160
4cylinder
Price/bei 15.5m
Contact/whatsapp kwa taarifa zaidi 0759827138
Weka mileage kama inavyosoma kwenye odometer umbali ambao gari imetembea, acha janjajanja. BIASHARA needs transparency
 
So you are tryin to argue that Alteza is among cars with good fuel economy??? [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umejisahaulisha tayari kauli yako ya:

"Bado haujafikia wakati wa kumiliki 6 cylinders mkuu. 6 cylinders na fuel economy wapi na wapi?"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umejisahaulisha tayari kauli yako ya:

"Bado haujafikia wakati wa kumiliki 6 cylinders mkuu. 6 cylinders na fuel economy wapi na wapi?"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wala sijasahau mkuu, Inshort ni kwamba magari mengi yenye 6 cylinders huwa yana fuel economy mbaya ukiachilia machache,hvyo kitendo tu cha kuwaza kuwa na gari ya cylinder hzo pekee ni kwamba tayari issue ya fuel economy siyo tatizo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umejisahaulisha tayari kauli yako ya:

"Bado haujafikia wakati wa kumiliki 6 cylinders mkuu. 6 cylinders na fuel economy wapi na wapi?"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu wangu- watanzania wengi hatuyaishi maisha ya brand husika,Haiwezekan mtu aendeshe FUGA & Crown kwa utamaduni wa Passo 🤣 🤣 ,Kuna jamaa alihadithia huku mtu alienda kwa dealer wa Range Rover akaanza kuulizia habari za fuel economy-dealer akamjibu in short kwamba bado hajafikia level hyo 🤣🤣🤣🤣
 
Wala sijasahau mkuu, Inshort ni kwamba magari mengi yenye 6 cylinders huwa yana fuel economy mbaya ukiachilia machache,hvyo kitendo tu cha kuwaza kuwa na gari ya cylinder hzo pekee ni kwamba tayari issue ya fuel economy siyo tatizo.
Huyo jamaa anataka gari za masafa marefu,6 cylinders kwny masafa marefu ukiweza kua na light foot/RPM ukacheza nayo vzr then consumption yake inakuaga super tu mkuu.
 
Wala sijasahau mkuu, Inshort ni kwamba magari mengi yenye 6 cylinders huwa yana fuel economy mbaya ukiachilia machache,hvyo kitendo tu cha kuwaza kuwa na gari ya cylinder hzo pekee ni kwamba tayari issue ya fuel economy siyo tatizo.
Au achukue ahata Majesta zenye six cylinder au unasemaje ndugu yangu
 
Back
Top Bottom