🤣 🤣 🤣Au achukue ahata Majesta zenye six cylinder au unasemaje ndugu yangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣 🤣 🤣Au achukue ahata Majesta zenye six cylinder au unasemaje ndugu yangu
Fuel economy yako ni ipi mkuu? 15k/l au?Kuna gari ambazo nimekuwa nikitumia lakini kwa sasa nataka nibadilishe gari. Nahitaji gari ambayo ni ya Toyota iwe 6 Cylinder. CC zikianzia 2000+ ni sawa. Sijui kama kuna ambayo inaweza kuwa below that. Ila iwe gari stable barabarani na fuel consumption yake iwe economy.
Gari ambayo naweza enda nayo Arusha nikageuza to Dar. Au Mbeya nikageuza to Dar kesho yake au Mwanza kesho yake nikageuza to Dar.
Hii natakata iwe naitumia mimi anytime nikitakiwa kuamsha popo naamsha. Shughuli zangu zinanifanya nisafiri sana gari nilizo nazo moja inabaki ya wife,nyingine watoto na nyingine ni kubwa zaidi kusafiri nayo kila mara.
Nahitaji ushauri wenu katika hili. Iwe Toyota ili nisisumbuke na spares kama hii gari nyingine kubwa huwa mikoa mingine hawana spares.
Hahah hizo ni story tu mkuu,angalia hata reviews za Range rovers 5.0L V8 Supercharged na gari nyingine za dizaini hio wenye nayo wako wanalalamikia poor gas mileage/gas guzzler.Mkuu wangu- watanzania wengi hatuyaishi maisha ya brand husika,Haiwezekan mtu aendeshe FUGA & Crown kwa utamaduni wa Passo [emoji1787] [emoji1787] ,Kuna jamaa alihadithia huku mtu alienda kwa dealer wa Range Rover akaanza kuulizia habari za fuel economy-dealer akamjibu in short kwamba bado hajafikia level hyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Athlete wala aili kama inavyoimbwa,mkuu ushawahi kuendesha athlete ukaona ulaji wake?😀😀😀.. achukue Athlete zinakula vizuri tu
Sasa anataka 6 cylinder kaambiwa achukue hata Crown V6 ila asiwe na mguu mzito. Abembeleze rpm isizidi 1500/minute atapata 13k/l very economical kama IST!Crown, kuindesha kama IST huo ni utumizi mabaya ya ununuaji wa hiyo gari
Ndio nimeendesha, na ndio maana nimemuambia achukue Athelete nina experience nayo, haili wese kabisaAthlete wala aili kama inavyoimbwa,mkuu ushawahi kuendesha athlete ukaona ulaji wake?
Then ili kujitofautisha na IST weka mguu mpk RPM ifike kwny 4 hapo ili uenjoy the ride.Hizi ndio habari za kununua Crown na kuendesha kama IST ili upate high miles per gallon. Better get an IST and be free.
😀😀😀 ile gari ngumu sana ku maintain hiyo RPM kuna sehemu ka mzuka katampanda tu. Ila sioni kama Crown zikila mafutaSasa anataka 6 cylinder kaambiwa achukue hata Crown V6 ila asiwe na mguu mzito. Abembeleze rpm isizidi 1500/minute atapata 13k/l very economical kama IST!
Itakua nimekosea kuquote mkuu,kuna jamaa alidai crown inakula wese ndio nilitaka kumquoteNdio nimeendesha, na ndio maana nimemuambia achukue Athelete nina experience nayo, haili wese kabisa
Ukiona mtu analalamika manake hastahili kuwa kwenye hilo daraja,Sijawah tegemea kumwona Mo and Mengi wakilalamikia poor gar milleage kwenye Range.Hahah hizo ni story tu mkuu,angalia hata reviews za Range rovers 5.0L V8 Supercharged na gari nyingine za dizaini hio wenye nayo wako wanalalamikia poor gas mileage/gas guzzler.
Sijaona usema kweli ulaji wa mafuta wa Crown. Labada kama kuna Crown zingine zinazo kula wese, hata hizo V8 zake pia hazili. Sema watu washa ingiwa na wenge la weseItakua nimekosea kuquote mkuu,kuna jamaa alidai crown inakula wese ndio nilitaka kumquote
Kwa sababu wamiliki wa Range rovers ni dizaini ya Mengi na MO tu,[emoji2][emoji2][emoji2] hilarious.Ukiona mtu analalamika manake hastahili kuwa kwenye hilo daraja,Sijawah tegemea kumwona Mo and Mengi wakilalamikia poor gar milleage kwenye Range.
Kawaida ila sio kama IST au Premio.😀😀😀 ile gari ngumu sana ku maintain hiyo RPM kuna sehemu ka mzuka katampanda tu. Ila sioni kama Crown zikila mafuta
Majesta sijawahi hata kulipanda ila zile cc zake zinatisha aisee 🤣Sijaona usema kweli ulaji wa mafuta wa Crown. Labada kama kuna Crown zingine zinazo kula wese, hata hizo V8 zake pia hazili. Sema watu washa ingiwa na wenge la wese
unataka six cylinder au unataka pefomance? Fuel consumption tuiweke constant kwanza, kwa kuwa perfomance is directly proportional to performanceKuna gari ambazo nimekuwa nikitumia lakini kwa sasa nataka nibadilishe gari. Nahitaji gari ambayo ni ya Toyota iwe 6 Cylinder. CC zikianzia 2000+ ni sawa. Sijui kama kuna ambayo inaweza kuwa below that. Ila iwe gari stable barabarani na fuel consumption yake iwe economy.
Gari ambayo naweza enda nayo Arusha nikageuza to Dar. Au Mbeya nikageuza to Dar kesho yake au Mwanza kesho yake nikageuza to Dar.
Hii natakata iwe naitumia mimi anytime nikitakiwa kuamsha popo naamsha. Shughuli zangu zinanifanya nisafiri sana gari nilizo nazo moja inabaki ya wife,nyingine watoto na nyingine ni kubwa zaidi kusafiri nayo kila mara.
Nahitaji ushauri wenu katika hili. Iwe Toyota ili nisisumbuke na spares kama hii gari nyingine kubwa huwa mikoa mingine hawana spares.
Inakupa km ngapi kwa Lita hapa mjini?!Athlete wala aili kama inavyoimbwa,mkuu ushawahi kuendesha athlete ukaona ulaji wake?
Mwenye cc kubwa ndo anakunywa sana mafutaKwa hio kati ya Altezza 6 cylinders(1G-FE) vs 4 cylinders(3S-GE) ipi inakula mafuta sana?
Inacheza kwenye 7 mpaka 8Inakupa km ngapi kwa Lita hapa mjini?!
Bila shaka ni uwanja wako huuSi unaona sasa.
6 cylinders(160hp) kwny Altezza ndio economy kuliko 4 cylinders(210 hp).
Hapana, Ila hatutegemei mtu wa Low income level awe naloKwa sababu wamiliki wa Range rovers ni dizaini ya Mengi na MO tu,[emoji2][emoji2][emoji2] hilarious.