Tenga mda wako ujifunze.Standards?
Hebu nipe General rules za hizo standards unazosema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tenga mda wako ujifunze.Standards?
Hebu nipe General rules za hizo standards unazosema.
Jaribu kupitia google khs namna rotory engine inavyofanya kazi na utofauti wake na hizi Piston engine kuna kitu utakipata mkuu.Kwa nini iwe hivyo? Wakati huyo wa cc 2000 anachoma mafuta mengi at a single stroke?
Atakwambia 4 cylinders !!!Kwa hio kati ya Altezza 6 cylinders(1G-FE) vs 4 cylinders(3S-GE) ipi inakula mafuta sana?
Premio ya cc ngapi hio yako?PREMIO ndio tamu sana.. yana mimi naendesha kwa miaka 2 sasa.. lita moja 11kmna wakati fulan hadi 12km depend na Mood yangu.. huwa nikiwa nimekasirika natabia ya kuwa na mguu mzito sana..but nikiwa kwenye good mood.. mafuta yanaenda very slow.. naenda arusha frequently ba dodoma
Gari kama ile, ilo kufaidi, usiendeshe huku unawazi wese, kitendo cha kuendesha huku unawaza wese, tayari itakutoa mchezoni na kujikuta kuona inakula sanaInapiga 13km/l hio gari? Mbona kama siamini chief! Hebu nishawishi
Wewe ndio ufunzwe,hizo story za standards hakunaga huku kwny magari.Jifunze.
Kila la heri kiongoziHapa nina mpango wa kabla ya october niwe nimevuya Toyota Century kitu V12 😀😀
Nataka nionje utamu wa V12, sio kuziona kwenye ndiga zingine tu 😀😀😀😀. Nione maajabu yakeKila la heri kiongozi
Shida mkuu unaonekana una elimu ya kukariri,punguza kujimwambafy-Everything unajua,Punguza hzo mambo.Wewe ndio ufunzwe,hizo story za standards hakunaga huku kwny magari.K
Maswala ya kukariri tu 6 cylinders inakula kuliko 4 cylinders ni ya kizamani hayo.
On serious note Kuna raha yake ku push mashine kubwa . Hata kama kwa kuji bana banaHizi ndio habari za kununua Crown na kuendesha kama IST ili upate high miles per gallon. Better get an IST and be free.
Milieage 85,000kmWeka mileage kama inavyosoma kwenye odometer umbali ambao gari imetembea, acha janjajanja. BIASHARA needs transparency
Sawasawa fundi mchundo,uko sahihi kabisa.Shida mkuu unaonekana una elimu ya kukariri,punguza kujimwambafy-Everything unajua,Punguza hzo mambo.
Mimi napendelea suv za bei chee 🤣,niko kwenye rav4 hapa najipanga panga niupgrade kwenye kluger japo naprefer sana vanguard ila mfuko haueleweki 🤣Si ndio itakuwa raha, ili tuwe nayo wengi.. au hutaki kuwa nalo ndugu yangu 😀😀
Nakubali mkuu.On serious note Kuna raha yake ku push mashine kubwa . Hata kama kwa kuji bana bana
Uwe na subira mkuu, chukua Vanguard ile ni machine, kwanza inatembea kishenzi. Nilishawai toka Dar to Mwanza kwa hoyo kitu, ni tamu asikwambie mtuMimi napendelea suv za bei chee 🤣,niko kwenye rav4 hapa najipanga panga niupgrade kwenye kluger japo naprefer sana vanguard ila mfuko haueleweki 🤣
Wazee wa kitonga kwenye 10+k/l wanakuambia gari inanusaSasa huoni balaa hio. Wakati watu wamezoea 10+k/l
Vipi Alteza Gita, naona huwa zina CC 3000 ushazifatilia kidogo ?Nakubali mkuu.
InategemeaUkiona mtu analalamika manake hastahili kuwa kwenye hilo daraja,Sijawah tegemea kumwona Mo and Mengi wakilalamikia poor gar milleage kwenye Range.
Mtu kakwambia anataka 6 wewe umeweka 4Toyota
model:Harrier old model
fuel type😛etrol
Gear: Automatic
Mileage:180km/hr
year:1999
Cc :2160
4cylinder
Price/bei 15.5m
Contact/whatsapp kwa taarifa zaidi 0759827138
Mfuko baba 🤣 usawa wenyewe si unauona huuUwe na subira mkuu, chukua Vanguard ile ni machine, kwanza inatembea kishenzi. Nilishawai toka Dar to Mwanza kwa hoyo kitu, ni tamu asikwambie mtu