Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Majesta ni jini V8 lile...Asiguse huko ye atafte 1G yake kwenye Verosa au Mark 2 atulie!Au achukue ahata Majesta zenye six cylinder au unasemaje ndugu yangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majesta ni jini V8 lile...Asiguse huko ye atafte 1G yake kwenye Verosa au Mark 2 atulie!Au achukue ahata Majesta zenye six cylinder au unasemaje ndugu yangu
Unauliza maswali yananikuna haswaaaa!!! Ngoja tusubiri jibu!!!Kwa hio mkuu kati ya mazda rx 8(cc 1300) vs Altezza (cc 2000) ipi inakula mafuta sana hapo?
Mkuu ni maisha tu 🤣 🤣 Unafikiri tungekuwa na visima vya mafuta hapo shamban tungeangalia RPM;Hapana Aisee,hata kichwa ya Scania tungeweza amishia kwenye SUV tupate vitu tofauti tofauti humu humu Tanzania🤣🤣🤣Inategemea
Napenda ma engine makubwa lakn pia napenda ku achieve better milages na Mara nyingi huwa nafanikiwa
Driving is an art too , ukiweza ku command engine ikakupa kile unachotaka ina raha yake ,
Mazda rx ni rottary engine , Zina fuel figures mbaya sanaSijafuatilia, ila kwa haraka naweza sema huyo wa cc 2000 ndo jini, labda tungalie yafuatayo,
1) horse power anayozalisha at maximum rotation
2) fuel technology
Inabidi uendeshe kama IST rpm isizidi 1500! Haya ni mateso aka utumwa.Inapiga 13km/l hio gari? Mbona kama siamini chief! Hebu nishawishi
Raha ya hio kitu uendeshe bila kuwaza wese.Kweli kabisa, hata kukanyaga ki bati cha crown ni raha
Ni bora uchelewe, ukipata unapata kitu roho inapendaMfuko baba 🤣 usawa wenyewe si unauona huu
Simply because zinatoa high hpMazda rx ni rottary engine , Zina fuel figures mbaya sana
Rotary engine ni kwa ajili ya performance tu nothing else, rx 8 japo ni engine ndogo zinatoa hp za juu sana na kwa kawaida huwa hazidumu.Kwa nini iwe hivyo? Wakati huyo wa cc 2000 anachoma mafuta mengi at a single stroke?
Usimtishe aseeee... akishaliweka mkononi atajua atavyo pambana nalo. Gari ni kama pisi kali, nani asie penda pisi kali hata kama hana hela ? Ila ikitokewa ngekewa kaipata mtu pisi kali ambayo hakutegemea, huongeze michakato ya kuihudumia.. na magari yapo hivyo hivyo, siku akikosa kabisa, anapaka anapanda dalalaMajesta ni jini V8 lile...Asiguse huko ye atafte 1G yake kwenye Verosa au Mark 2 atulie!
Na adui namba ya moja ya gari nzuriz kuchungulia chungulia wese. Amka asubuhi na mapema tupia wese lako kama la jiwe au nusu jiwez kanyaga kibati, AC kwa hewa ka mziki safi.. maisha yenyewe haya haya mkuuRaha ya hio kitu uendeshe bila kuwaza wese.
Ndio inavyotakiwa kama unataka fuel economy nunua IST wese lako la 10,000 wiki nzima.Na adui namba ya moja ya gari nzuriz kuchungulia chungulia wese. Amaksa asubuhi na mapema tupia wese lako kama la jiwe au nusu jiwez kanyaga kibati, AC kwa hela ka mziko safi.. maisha yenyewe haya haya mkuu
Ila ndio hupati raha ya chombo cha ngozi nyeupe. Hela itafutwe tu mkuu. Huwa sipati picha sie tu na hivi vi crown tunasema kuna luxury, je wa kwenye Mereced Maybach S650.. ila raha yake ya ndani ikoje mleNdio inavyotakiwa kama unataka fuel economy nunua IST wese lako la 10,000 wiki nzima.
Ondoa hayo mawazo ya kizamani kwanza , engine kuwa kubwa haimaanishi kuwa itakula mafuta vibaya ,Mkuu ni maisha tu [emoji1787] [emoji1787] Unafikiri tungekuwa na visima vya mafuta hapo shamban tungeangalia RPM;Hapana Aisee,hata kichwa ya Scania tungeweza amishia kwenye SUV tupate vitu tofauti tofauti humu humu Tanzania[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hakuna kitu kinanikera kma kupitwa na IST njiani! Huwa nazifua Chap Chap!Inabidi uendeshe kama IST rpm isizidi 1500! Haya ni mateso aka utumwa.
Kwann mtu ununue gari ya engine kubwa just kusave mafuta badala ya kupata real performance ya gari husika iliyotengenezwa nayo? Nakubaliana na RRONDO kabisa it's pointless kununua gari yenye machine kubwa na kuendesha kwa style ambayo itakupa fuel economy ya IST,hii ni totally wastage ya resources.Ondoa hayo mawazo ya kizamani kwanza , engine kuwa kubwa haimaanishi kuwa itakula mafuta vibaya ,
Kuna sanaa ya kuendesha engine kubwa na economy utapata
IST ya 1300cc labda. Ile ya 1500cc hutoboi!Ndio inavyotakiwa kama unataka fuel economy nunua IST wese lako la 10,000 wiki nzima.
Watoto wa kiarabu wanazichezea hizo 5.6 & 5.7L V8 za kijapani like a Joke 😂😂😂Mkuu ni maisha tu 🤣 🤣 Unafikiri tungekuwa na visima vya mafuta hapo shamban tungeangalia RPM;Hapana Aisee,hata kichwa ya Scania tungeweza amishia kwenye SUV tupate vitu tofauti tofauti humu humu Tanzania🤣🤣🤣
Wale hawanaga mambo ya kuchungulia RPM wala wallet,wanakwambia wanatumia gari ipasavyo hata ikibidi na modifications wanafanya kabisa 🤣🤣🤣Watoto wa kiarabu wanazichezea hizo 5.6 & 5.7L V8 za kijapani like a Joke 😂😂😂
Hajimwambafai, anajua huyo jamaaShida mkuu unaonekana una elimu ya kukariri,punguza kujimwambafy-Everything unajua,Punguza hzo mambo.