Nahitaji Gari ya Toyota yenye Engine Six Cylinder but ulaji Mzuri wa Mafuta

Nahitaji Gari ya Toyota yenye Engine Six Cylinder but ulaji Mzuri wa Mafuta

Sina experience, hivi Mark X Engine code 4GR na Crown Athlete the same Engine Code with the same CC(2500) ulaji wake uko sawasawa? Hakuna maboresho fulani ya mfumo wa umeme ambao moja kati ya gari hizo unasababisha iwe na unafuu katika fuel economy?
Mimi binafsi hizi 6 cylinder nazikubali sana, nimewahi tu kuwa na gari la engine ya 1G 6 Cylinder, kwa hakika inashika njia na hakuna mpuuzi yeyote wakati ule wa ligi za mabasi aliwahi kunisumbua.
Katika ulaji wa wese , hazina tofauti sana. Ila kama unakata luxury tamu tamu dumbukia kwa crown, na kama utapata Hybrid hutojutia
 
Inabidi uendeshe kama IST rpm isizidi 1500! Haya ni mateso aka utumwa.
Kuna jamaa alikuwa anatumia nusu tank la lita 70 toka Moshi to Dar gari ya 2500 cc.. Yani anatumia lita 40.

Nikasubiri siku nione anavyoendesha. Jamaa havuki 2000 rpm. Anacheza na 1500 mpaka 2000.

Nikajaribu nikashindwa.

Ila watu wanaweza.
 
Kuna jamaa alikuwa anatumia nusu tank la lita 70 toka Moshi to Dar gari ya 2500 cc.. Yani anatumia lita 40.

Nikasubiri siku nione anavyoendesha. Jamaa havuki 2000 rpm. Anacheza na 1500 mpaka 2000.

Nikajaribu nikashindwa.

Ila watu
Kazi sana ku maintain hiyo. Kama una haraka. Ila kama huna haraka, mtu unapiga hiyo style.
 
Aisee, ulikanyaga pedal
Ni kawaida sana, hasa kwa siku ambazo hazina Trafic wa kutosha.. kama jumapili. Ila uhakikishe Dar es Salaam unatoka kuanzia saa 10 alafajiri, mapema tu unaipungua morogoro njia. Hesabu zangu kali huwa inikute naiacha dumila ikiwa bado mapema sana
 
Ni kawaida sana, hasa kwa siku ambazo hazina Trafic wa kutosha.. kama jumapili. Ila uhakikishe Dar es Salaam unatoka kuanzia saa 10 alafajiri, mapema tu unaipungua morogoro njia. Hesabu zangu kali huwa inikute naiacha dumila ikiwa bado mapema sana
Vp tochi mkuu?
 
PREMIO ndio tamu sana.. yana mimi naendesha kwa miaka 2 sasa.. lita moja 11kmna wakati fulan hadi 12km depend na Mood yangu.. huwa nikiwa nimekasirika natabia ya kuwa na mguu mzito sana..but nikiwa kwenye good mood.. mafuta yanaenda very slow.. naenda arusha frequently ba dodoma
Premio kuna ya 1490CC, 1790CC na 1990CC yako ni ipi? Ya mwaka gani?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umejisahaulisha tayari kauli yako ya:

"Bado haujafikia wakati wa kumiliki 6 cylinders mkuu. 6 cylinders na fuel economy wapi na wapi?"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Noma
 
Aah, sasa hiyo mbona sawa tu na gari kama Rav 4 engine code 1AZ, 1ZZ na 2AZ? 1ZZ iko kwenye Kill time Rav 4, Voltz, Premio kutaja baadhi.

Kadri nijuavyo kama mtu anaweza kuendesha RAV 4, Kluger, Harrier za kuanzia 5S, 2AZ Ambazo zote ni 4 cylinder zenye cc 2400, hawezi kushindwa 6 Cylinder hizi za kisasa ambazo zina CC 2500.

Nadharia hapa ni kuwa kuna mtu anajaza tank lake la maji kwa pipe 4 kubwa(boreholes) na mwingine anajaza tank lake lenye ujazo unaoelekea kufanana CC2500 vs 2400 kwa kutumia pipe ndogo 6, tofauti hapo ni kama hamna na kwa kutumia advanced technology yaani usaidizi wa mifumo iliyoboreshwa ya umeme wa gari, utakuta ulaji wa mafuta ni mdogo tu.
You are very correct.
 
Back
Top Bottom