Torque vs HP
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,769
- 5,084
Kwa hio mkuu kati ya mazda rx 8(cc 1300) vs Altezza (cc 2000) ipi inakula mafuta sana hapo?Mwenye cc kubwa ndo anakunywa sana mafuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hio mkuu kati ya mazda rx 8(cc 1300) vs Altezza (cc 2000) ipi inakula mafuta sana hapo?Mwenye cc kubwa ndo anakunywa sana mafuta
Sasa huoni balaa hio. Wakati watu wamezoea 10+k/lInacheza kwenye 7 mpaka 8
Hahah napenda tu discussion ya magari mkuu.Bila shaka ni uwanja wako huu
Sijafuatilia, ila kwa haraka naweza sema huyo wa cc 2000 ndo jini, labda tungalie yafuatayo,Kwa hio mkuu kati ya mazda rx 8(cc 1300) vs Altezza (cc 2000) ipi inakula mafuta sana hapo?
Mimi similiki crown uwa nazugia za washkaji,ila kwa comf ile ya crown 7-8 wala sio ya kulalamikaSasa huoni balaa hio. Wakati watu wamezoea 10+k/l
Kweli kabisa, hata kukanyaga ki bati cha crown ni rahaKawaida ila sio kama IST au Premio.
Hayali mafuta yale, watu waoga tu. 😀😀😀😀Majesta sijawahi hata kulipanda ila zile cc zake zinatisha aisee 🤣
Hapo rx 8 (cc 1300) ndio inakula zaidi kuliko Altezza ya (cc 2000) mkuu.Sijafuatilia, ila kwa haraka naweza sema huyo wa cc 2000 ndo jini, labda tungalie yafuatayo,
1) horse power anayozalisha at maximum rotation
2) fuel technology
Lile dude tamu sana,wasi wasi wangu lisije likashuka kwenye resale kama brevis na mark xHayali mafuta yale, watu waoga tu. 😀😀😀😀
Cresta/Gx 110/Mark x/Brevis kuna watu zimewashinda hapa mjini,ukiwaambia majesta haili wese wanaweza kukutoa nduki [emoji2][emoji2][emoji2].Hayali mafuta yale, watu waoga tu. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Si ndio itakuwa raha, ili tuwe nayo wengi.. au hutaki kuwa nalo ndugu yangu 😀😀Lile dude tamu sana,wasi wasi wangu lisije likashuka kwenye resale kama brevis na mark x
Hapa nina mpango wa kabla ya october niwe nimevuya Toyota Century kitu V12 😀😀Lile dude tamu sana,wasi wasi wangu lisije likashuka kwenye resale kama brevis na mark x
Mkuu unazunguka sana,Please Argue based on standards na siyo aina za magari na HP as well as CC- Standards zinasemaje katika kusema gari fulani lina good fuel economy? Je,gari lenye good fuel economy linaenda km's ngapi per litre highway na urban? Haya nadhan ndo basic questions.Hapo rx 8 (cc 1300) ndio inakula zaidi kuliko Altezza ya (cc 2000) mkuu.
Nadhani kabla ya watu kua wanafikia conclusion ya gari ipi inakula wese kuliko nyingine inabidi kuangalia mambo mengi sana.
Maana kama hapo juu ni rotary engine vs piston engine.
Kwa nini iwe hivyo? Wakati huyo wa cc 2000 anachoma mafuta mengi at a single stroke?Hapo rx 8 (cc 1300) ndio inakula zaidi kuliko Altezza ya (cc 2000) mkuu.
Nadhani kabla ya watu kua wanafikia conclusion ya gari ipi inakula wese kuliko nyingine inabidi kuangalia mambo mengi sana.
Maana kama hapo juu ni rotary engine vs piston engine.
Shida ni ubahiri mkuu, watu wanataka vitu vizuri. Ila mkono birika, sio kwamba hawawezi zihudumia , ila hawatakiCresta/Gx 110/Mark x/Brevis kuna watu zimewashinda hapa mjini,ukiwaambia majesta haili wese wanaweza kukutoa nduki [emoji2][emoji2][emoji2].
Hapa umenifungua akili.. mm sikuzote huwa nilikuwa naangaliaa neno CC baasi naangali number kubwa.. kumbe kuna issue ya Piston vs nini sijui.. duh..Hapo rx 8 (cc 1300) ndio inakula zaidi kuliko Altezza ya (cc 2000) mkuu.
Nadhani kabla ya watu kua wanafikia conclusion ya gari ipi inakula wese kuliko nyingine inabidi kuangalia mambo mengi sana.
Maana kama hapo juu ni rotary engine vs piston engine.
Standards?Mkuu unazunguka sana,Please Argue based on standards na siyo aina za magari na HP as well as CC- Standards zinasemaje katika kusema gari fulani lina good fuel economy? Je,gari lenye good fuel economy linaenda km's ngapi per litre highway na urban? Haya nadhan ndo basic questions.
Inapiga 13km/l hio gari? Mbona kama siamini chief! Hebu nishawishiSasa anataka 6 cylinder kaambiwa achukue hata Crown V6 ila asiwe na mguu mzito. Abembeleze rpm isizidi 1500/minute atapata 13k/l very economical kama IST!