Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
😂😂😂😂Mzee hamna kitu kinakosekana mchawi kibunda mazeeeDah we mbwa acha kutu okota😂😃🤣, Moto gani huo😃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂Mzee hamna kitu kinakosekana mchawi kibunda mazeeeDah we mbwa acha kutu okota😂😃🤣, Moto gani huo😃
Soft nasomaga baadhi, ila hard Kuna kale mzuka fulani tu.Hardcopy huwa zina raha yake kwakweli.
Hawa watoto wa ushuani changamoto sana Sasa mi nisome kitabu ili iweje hayo mambo watafanya wanangu😂 akishindwa ni yeye uwe makini yasijekuwa mazoezi
Mimi muuza mihogo tu, ila hata Mimi natumaga daslam.Delivery note unazijua?
Dah jobless leo natukanwa aisee🤣😃😂Hawa watoto wa ushuani changamoto sana Sasa mi nisome kitabu ili iweje hayo mambo watafanya wanangu
Pindi unasubir hardcopy ukiwa na nafasi ebu dondosha hapa hata hizo softcopy mkuu.Habari wakuu, nina hitaji hasrd copy ya vitabu vya Alex rider by Anthony Horowitz.
List ya vitabu vyenyewe ni hivi.
Wakuu mwenye navyo tuna eza zungumza kwa wema tu, maana mimi ni jobless pro max.
- Stormbreaker (2000)
- Point Blanc (2001)
- Skeleton Key (2002)
- Eagle Strike (2003)
- Scorpia (2004)
- Ark Angel (2005)
- Snakehead (2007)
- Crocodile Tears (2009)
- Scorpia Rising (2011)
- Russian Roulette (2013)
- Never Say Die (2017)
- Secret Weapon (2019)
- Nightshade (2020)
- Nightshade Revenge (2023
View attachment 2851442
Kuna mihogo flan naona wanachanganya na dagaa makondakta wakifika mnazi Moja wananunuaga isije kua ndo ww unatumaMimi muuza mihogo tu, ila hata Mimi natumaga daslam.
👉So nazijua kijana🤣😃😃
Hata wanangu hawatofanya, nilijaribu kwenye basi safarini bado kidogo nife. Ila kuna wadau niliwaona wapo fresh tu kusoma.Hawa watoto wa ushuani changamoto sana Sasa mi nisome kitabu ili iweje hayo mambo watafanya wanangu
Kabisa aiseee hata attention inakuwa ni kali tofauti na soft.Soft nasomaga baadhi, ila hard Kuna kale mzuka fulani tu.
Oya Mpaji Mungu andaa location, nimpasue huyu bwege nusu albino😃🤣😂 Half american😂 maneno ya nyuma ya keyboard hayo tumalizane na hili la vitabu kwanza
Shida we ni nusu albino🤣😃😂Hata wanangu hawatofanya, nilijaribu kwenye basi safarini bado kidogo nife. Ila kuna wadau niliwaona wapo fresh tu kusoma.
Kusoma vitabu sio jambo baya ila Kuna mda unajisome tu kawaida....ila mm siwezi nlijatahidi kusoma soma vya database & network nikaona michoso!Hata wanangu hawatofanya, nilijaribu kwenye basi safarini bado kidogo nife. Ila kuna wadau niliwaona wapo fresh tu kusoma.
Kama mnaweza pigeni zoezi niwape link mkakiwashe Azam Tv watarusha live mpate pesa mm mtanipa commission!Oya Mpaji Mungu andaa location, nimpasue huyu bwege nusu albino😃🤣😂 Half american
Nilikuwa naona nyota nyota tu sina utulivu wa kusoma ila kuna wadau wapo fresh kabisa nikawa najiuliza au wanaigiza?Shida we ni nusu albino🤣😃😂
Kweli mkuu akili ikishakuwa inawaza maokoto utawaza hata ukisoma utalipwa?Kusoma vitabu sio jambo baya ila Kuna mda unajisome tu kawaida....ila mm siwezi nlijatahidi kusoma soma vya database & network nikaona michoso!
Kuna mda pesa inatake over kichwani unachowaza ni ibada & pesa tu
Utapigika vibaya mno mpaka usitambulike😂Oya Mpaji Mungu andaa location, nimpasue huyu bwege nusu albino😃🤣😂 Half american
OYaaa mi jobless tu, mihogo Ina brand hiyo😃🤣😂Kuna mihogo flan naona wanachanganya na dagaa makondakta wakifika mnazi Moja wananunuaga isije kua ndo ww unatuma
Mimi hata bila ya zoezi, namuangusha huyu nusu albino Half american .Kama mnaweza pigeni zoezi niwape link mkakiwashe Azam Tv watarusha live mpate pesa mm mtanipa commission!
Unakuta Mtu anasoma kitabu anasema kimembadilisha sana 😄Kweli mkuu akili ikishakuwa inawaza maokoto utawaza hata ukisoma utalipwa?
Kumbe kusoma mpaka ulipwe 😂😃, we kweli kenge 🤔🤒Kweli mkuu akili ikishakuwa inawaza maokoto utawaza hata ukisoma utalipwa?