Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilianza urithi ,, nachokoza Mada😁Mimi nimewekeza 650+ ila naona uvivu kuja pm njoo
Sawa British American"Emplementassion"ni msamiti mpya au?sijaelewa...samahani lakni
Habari wakuu, naamini huku JF kuna watu wengi wengine tuna kipato cha kawaida cha maisha ya mtanzania, wengine hatuna chochote zaidi ya kumiliki smartphone kwa ajili ya kureply matusi na makasiriko kwenye post za watu, na wapo wengine waliojaliwa wanaojijua ni wawekezaji wakubwa na matajiri ambao wana experience na pesa na wanaojua uwekezaji mkubwa,
Shida yangu nahitaji mtu mmoja asiwe mtumishi wa serikali ila awe mfanyabiashara ambae amewekeza zaidi ya 500m, Hapa namaanisha nahitaji mtu mwenye exposure kubwa katika Biashara ya pesa ndefu,
Nimeshindwa kuandika hapa lengo la post yangu kwa kuwa naamini wapo watu wengi humu wengine hawajui wanachokitafta katika maisha yao na wengine hulka yao ni kukejeli na ku dispoint kila mtu ambae wao kwa mtazamo yao wanaona ana wazo tofauti na wao au ana mtazamo tofauti na wao,
Namkarbisha PM kwa moyo mkunjufu kabisa ila kama unajua hii haikuhusu na hauna vigezo tafadhari sana achana na post yangu. Fanya kama hujaiona.
Mkuu umewaza Vizuri sana,lkn hofu yangu ni Kwamba Wana JF wengi ni waongo,wanafeki maisha.Lkn pia watu wengi waliofanikiwa huwa hawaelezi kinagaubaga jinsi walivyofanikiwa hueleza tu juu juu.Habari wakuu, naamini huku JF kuna watu wengi wengine tuna kipato cha kawaida cha maisha ya mtanzania, wengine hatuna chochote zaidi ya kumiliki smartphone kwa ajili ya kureply matusi na makasiriko kwenye post za watu, na wapo wengine waliojaliwa wanaojijua ni wawekezaji wakubwa na matajiri ambao wana experience na pesa na wanaojua uwekezaji mkubwa,
Shida yangu nahitaji mtu mmoja asiwe mtumishi wa serikali ila awe mfanyabiashara ambae amewekeza zaidi ya 500m, Hapa namaanisha nahitaji mtu mwenye exposure kubwa katika Biashara ya pesa ndefu,
Nimeshindwa kuandika hapa lengo la post yangu kwa kuwa naamini wapo watu wengi humu wengine hawajui wanachokitafta katika maisha yao na wengine hulka yao ni kukejeli na ku dispoint kila mtu ambae wao kwa mtazamo yao wanaona ana wazo tofauti na wao au ana mtazamo tofauti na wao,
Namkarbisha PM kwa moyo mkunjufu kabisa ila kama unajua hii haikuhusu na hauna vigezo tafadhari sana achana na post yangu. Fanya kama hujaiona.
Ni ndogo?500m ndiyo ya kuanzisha Uzi kweli?[emoji41]
😂😂😂sina hata mia Mkuu,ndo ivo jf wanacommenters hatuchagui pori
unapata tabu gani ww mcheki huyu mtu INSIDER MAN chap kwa haraka haioksi hyo ...Habari wakuu, naamini huku JF kuna watu wengi wengine tuna kipato cha kawaida cha maisha ya mtanzania, wengine hatuna chochote zaidi ya kumiliki smartphone kwa ajili ya kureply matusi na makasiriko kwenye post za watu, na wapo wengine waliojaliwa wanaojijua ni wawekezaji wakubwa na matajiri ambao wana experience na pesa na wanaojua uwekezaji mkubwa,
Shida yangu nahitaji mtu mmoja asiwe mtumishi wa serikali ila awe mfanyabiashara ambae amewekeza zaidi ya 500m, Hapa namaanisha nahitaji mtu mwenye exposure kubwa katika Biashara ya pesa ndefu,
Nimeshindwa kuandika hapa lengo la post yangu kwa kuwa naamini wapo watu wengi humu wengine hawajui wanachokitafta katika maisha yao na wengine hulka yao ni kukejeli na ku dispoint kila mtu ambae wao kwa mtazamo yao wanaona ana wazo tofauti na wao au tabu ana mtazamo tofauti na wao,
Namkarbisha PM kwa moyo mkunjufu kabisa ila kama unajua hii haikuhusu na hauna vigezo tafadhari sana achana na post yangu. Fanya kama hujaiona.
Ungenitaja tu kuliko kuzunguka kote hukowengine hatuna chochote zaidi ya kumiliki smartphone kwa ajili ya kureply matusi na makasiriko kwenye post za watu,
Madam unamaanisha waliowekeza kwenye Bajaj za mkataba?🙌🙌Mfanyabishara wa M500 humu huwezi kumkuta yupo busy na kumaintain biashara zake,,humu wapi kuanzia 200 kushuka chini,waajiriwa na jobless
Nakazia, mimi binafsi sijafikisha iko kiwango cha pesa ila sometimes nakuaga busy hata muda wa kula sipati achilia mbali muda wa kushika simuMfanyabishara wa M500 humu huwezi kumkuta yupo busy na kumaintain biashara zake,,humu wapi kuanzia 200 kushuka chini,waajiriwa na jobless
Eeeeh kabisaa mkuu😁Madam unamaanisha waliowekeza kwenye Bajaj za mkataba?🙌🙌
Na kuamini,Kuna Mtu namjua ni member humu sidhani hata kama 500 imefika ila yupo vizuri kibiashara yaani kukuta humu comment yake ni baada ya miezi SITA...ila sie kina nikopeshe aftatu Sasa🤣🤣🤣🤣Nakazia, mimi binafsi sijafikisha iko kiwango cha pesa ila sometimes nakuaga busy hata muda wa kula sipati achilia mbali muda wa kushika simu
Ur right 👍Achen kujikweza bwana matajiri hawana muda wa JF
Nenda kituo cha uwekezaji Tanzania "TIC" watakuunganisha na watu wenye pesa wanaotaka kuwekeza, ambao hiyo million 500 ni pesa ndogo sana kwenye uwekezaji.Habari wakuu, naamini huku JF kuna watu wengi wengine tuna kipato cha kawaida cha maisha ya mtanzania, wengine hatuna chochote zaidi ya kumiliki smartphone kwa ajili ya kureply matusi na makasiriko kwenye post za watu, na wapo wengine waliojaliwa wanaojijua ni wawekezaji wakubwa na matajiri ambao wana experience na pesa na wanaojua uwekezaji mkubwa,
Shida yangu nahitaji mtu mmoja asiwe mtumishi wa serikali ila awe mfanyabiashara ambae amewekeza zaidi ya 500m, Hapa namaanisha nahitaji mtu mwenye exposure kubwa katika Biashara ya pesa ndefu,
Nimeshindwa kuandika hapa lengo la post yangu kwa kuwa naamini wapo watu wengi humu wengine hawajui wanachokitafta katika maisha yao na wengine hulka yao ni kukejeli na ku dispoint kila mtu ambae wao kwa mtazamo yao wanaona ana wazo tofauti na wao au ana mtazamo tofauti na wao,
Namkarbisha PM kwa moyo mkunjufu kabisa ila kama unajua hii haikuhusu na hauna vigezo tafadhari sana achana na post yangu. Fanya kama hujaiona.