wewe mkubarie tu ukamchune si unajua mchele na maharage ndani yamekwisha ? mie nakuaminia najua wataishia kunawa.
saudariKama nitonye ataenda na Evelyn Salt halafu asiweze hata "kusuuza rungu" nitamwona waajabu kweli.
Kama nitonye ataenda na Evelyn Salt halafu asiweze hata "kusuuza rungu" nitamwona waajabu kweli.
Nshaku PM kimwana.......twende bakurutu, live band Jb Belmont.
charminglady nakusubiria, Slave baki ulinde nyuma tutaenda na wewe siku nyingine!!!!!!
Nshaku PM kimwana.
Sema ungependa nitoke vipi sasa?
Shost Evelyn Salt kazi ni kwako!
Teh teh teh!mtoko wa bakurutu.....
suruali ya kitambaa, shati la mikono mirefu weka na saspenda, chini malizia ngwasuma.....
usisahau kitambaa cheupe, ikipingwa ngoma ya king kikii lazma tuicheze na vitambaa vyeupe juu!!!!
eneo la tukio ni wapi nitie maguu ukizingatia walipaji wamepatikana teh teh nisije kuosha vyombo na kufua mashuka huko loh.
ha ha ha pole siku nyingine kumbuka kubeba spea!!!!!!!!