Nahitaji kampani usiku wa leo.......

Nahitaji kampani usiku wa leo.......

eneo la tukio ni wapi nitie maguu ukizingatia walipaji wamepatikana teh teh nisije kuosha vyombo na kufua mashuka huko loh.

Wewe miss Asnam hujambo?
 
Last edited by a moderator:
ungejua slave anatumia kiasi gani kwangu ili anipate wala usingefurahia hicho ki sh.50000 ulizotumiwa

Slave kavuna mpunga na mahindi, hawezi nipa hela ndogo hivo!!!!!!!!
huu msimu wa mavuno ndo twapendana sana si eti Slave?
 
Last edited by a moderator:
ungejua slave anatumia kiasi gani kwangu ili anipate wala usingefurahia hicho ki sh.50000 ulizotumiwa

embu kubalianeni jamani naweza kuwa wenu kwa pamoja, Lady doctor ukawa nyumba kubwa afu Evelyn Salt akawa nyumba ndogo. chukueni maamuzi mazito sasa.............!!!!
 
Last edited by a moderator:
Slave kavuna mpunga na mahindi, hawezi nipa hela ndogo hivo!!!!!!!!
huu msimu wa mavuno ndo twapendana sana si eti Slave?

hamna mapenzi yoyote anakudanganya tu ili umlindie magunia yake ya mpunga na mahindi
 
Last edited by a moderator:
subiri ziishe uondoke kabisa.......

halafu nakuoneaga huruma ujuee.... Unavyoswampa kwa miguu vumbi limekujaa, na kwako unatumia kuni... Angalia wananzengo wasije wakakukatakata mapanga coz unamacho kama kachawi coz ya vumbi na moshi. Njoo nikupe hifadhi kwangu nakaa hewani karibia na mbingu, kitu cha mangazingazi na lift kwa sana full kiyoyozi njiani mpaka nyumbani..!
 
halafu nakuoneaga huruma ujuee.... Unavyoswampa kwa miguu vumbi limekujaa, na kwako unatumia kuni... Angalia wananzengo wasije wakakukatakata mapanga coz unamacho kama kachawi coz ya vumbi na moshi. Njoo nikupe hifadhi kwangu nakaa hewani karibia na mbingu, kitu cha mangazingazi na lift kwa sana full kiyoyozi njiani mpaka nyumbani..!

una maanisha Slave au?
 
Last edited by a moderator:
upo sawa my andazi,ila nakuomba nifunge ndoa na Lady doctor zikiisha za mavuno namuacha tunaendelea tena eeeeeeee?

si umuambi tu ukweli kuniacha hutoweza!! Au unamwonea huruma coz anapresha? Basi endelea kumpoozapooza huku tukila raha taratibu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom