Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ungejua slave anatumia kiasi gani kwangu ili anipate wala usingefurahia hicho ki sh.50000 ulizotumiwa
embu kubalianeni jamani naweza kuwa wenu kwa pamoja, Lady doctor ukawa nyumba kubwa afu Evelyn Salt akawa nyumba ndogo. chukueni maamuzi mazito sasa.............!!!!
upo sawa my andazi,ila nakuomba nifunge ndoa na Lady doctor zikiisha za mavuno namuacha tunaendelea tena eeeeeeee?
unasemaje?
upo sawa my andazi,ila nakuomba nifunge ndoa na Lady doctor zikiisha za mavuno namuacha tunaendelea tena eeeeeeee?
hamna mapenzi yoyote anakudanganya tu ili umlindie magunia yake ya mpunga na mahindi
dia hilo ni ombi tu afu ujue huyu baba yake ni fisadi kwahivyo shopping zako zitakuwa dubai sauwa?????
subiri ziishe uondoke kabisa.......
halafu nakuoneaga huruma ujuee.... Unavyoswampa kwa miguu vumbi limekujaa, na kwako unatumia kuni... Angalia wananzengo wasije wakakukatakata mapanga coz unamacho kama kachawi coz ya vumbi na moshi. Njoo nikupe hifadhi kwangu nakaa hewani karibia na mbingu, kitu cha mangazingazi na lift kwa sana full kiyoyozi njiani mpaka nyumbani..!
upo sawa my andazi,ila nakuomba nifunge ndoa na Lady doctor zikiisha za mavuno namuacha tunaendelea tena eeeeeeee?
una maanisha Slave au?
nipe muda nifikirie......