Nahitaji kijana wa kufanya kazi ya kuuza spare parts Pwani

Nahitaji kijana wa kufanya kazi ya kuuza spare parts Pwani

lusajo1990

Member
Joined
Sep 28, 2014
Posts
20
Reaction score
18
Habari, rejea kichwa cha habari hapo juu, nahitaji kijana ambae ana njaa ya kazi to the extent nikimpa kazi atakuwa na fresh ideas za namna ya kuongeza sales na hatimae faida.

Nahitaji kijana ambae ataifanya kazi akiamini hii itamsukuma kimaisha. Mimi ni entrepreneur mdogo na hili ni duka dogo la tatu nafungua hivyo atakaepata hii kazi awe assured tuta grow pamoja.

Hata kama upo mkoani apply nitatoa nusu ya kodi ya nyumba. Nitumie message, unahitaji mshahara kihasi gani, na background yako kwa jumla.

Regards
Lusajo Joseph
Lusajongula@gmail.com
 
Mkuu mimi sihitaji ajira ila naomba unipe mwanga wa hii biadhara ili nije nifungue duka langu dogo kwa mtaji wa 3M.asante.
 
Mkuu mimi sihitaji ajira ila naomba unipe mwanga wa hii biadhara ili nije nifungue duka langu dogo kwa mtaji wa 3M.asante.
Huo mtaji hautoshi..me pia ninafanya hii biashara..atleast uwe na minimum 8M.
 
Kwanini hiyo kazi usingempatia mdogowako ambae anaurandisha dawa za panya huku zanzibar
 
Back
Top Bottom