Mh, DDC ndo nini?vya makampuni vingi vinakua na sifa izi
1. kwa bajeti yangu kiwanja nitakachopata mji unakua bado maendeleo kama maji na umeme sababu wanachukua mapori na kukata kata viwanja
2. kiwanja kidogo tu bei kubwaa
3.makampuni mengi waongo mfano unakuta wamechukua pori la bagamoyo kiromo wanakata kata viwanja wanauza kumbe ni eneo lipo kwenye hifadhi ya bandari bagamoyo unakuja shtuka umepigwa
4.makampuni yanadanganya vuwanja vimepimwa ukimaliza kulipia hakuna hati wala nn kumbe ni viwanja vya DDC kama kule bunju mpaka raisi kaingilia kati kaamua tu waliojenga wanunue sqm moja kwa sijui buku ika ambao hawajajenga watanunua kama kawaida ivyo unanunua kiwanja mara 2