Plot4Sale Nahitaji Kiwanja DSM cha Sqm 800-900, location KIGAMBONI Dege, Geza, muongozo, mwembe mdogo, cheka au KINYEREZI, kisiwe mbali na Main road. Offer 13M

Plot4Sale Nahitaji Kiwanja DSM cha Sqm 800-900, location KIGAMBONI Dege, Geza, muongozo, mwembe mdogo, cheka au KINYEREZI, kisiwe mbali na Main road. Offer 13M

Hiki bado kipo wakuu mwenye kuhutaji an Pm Nimehamia Dodoma Ndio kisa cha kuuza kama kuna mtu huku dom tunaweza kuexchange fresh tu pia!!!
Kipo mtaa upi, umbali toka barabarani ukoje, kina nyaraka gani? hebu kielezee kdg mkuu..
 
Hiki uliuza?kama kipo kinaendaje?
Kua makini usije kutapeliwa...mm icho kiwanja kipo karibu na dege kimepimwa na kina hati zote rafik angu anafanya kazi bank ndio anakiuza aliniomba nimpostie humu sababu yeye anashindwa kutumia jf
 
Kipo mtaa upi, umbali toka barabarani ukoje, kina nyaraka gani? hebu kielezee kdg mkuu..

Kina mkataba wa serikali za mtaa hati unakwenda kuchukua tu mana kina bicon kipo karibu na Tannesco kiukweli neighborhood ni nzur sanaa kuna nyumba za maana kama ni mwenyeji ni karibu na kwa rais mstafu shein ,Mimi ni mtumishi wa umma kabla hujalipa tutafanya kila kitu kujiridhisha na umilk wako [emoji1545]
 
Kua makini usije kutapeliwa...mm icho kiwanja kipo karibu na dege kimepimwa na kina hati zote rafik angu anafanya kazi bank ndio anakiuza aliniomba nimpostie humu sababu yeye anashindwa kutumia jf

Dah Umeongea ki chuki chuku mkuu
 
Kina mkataba wa serikali za mtaa hati unakwenda kuchukua tu mana kina bicon kipo karibu na Tannesco kiukweli neighborhood ni nzur sanaa kuna nyumba za maana kama ni mwenyeji ni karibu na kwa rais mstafu shein ,Mimi ni mtumishi wa umma kabla hujalipa tutafanya kila kitu kujiridhisha na umilk wako [emoji1545]
Wiki ijayo kama hakitachukuliwa nitakucheki Mkuu.Ingawa Kigamboni michezo sana imenikuta Kibugumo Shule.
 
Back
Top Bottom