Nahitaji kuanza kilimo cha zao la beetroots maeneo ya Dodoma, Morogoro, Singida au Shinyanga

Ni kama viazi vikuu hivi ila vyenyewe vina rangi ya paple; uotaji wake ni kama malando vile .... nilivifahamu kipindi nikimuuguza mgonjwa; niliambiwa vinaongeza damu kwa haraka sana.
Asante mkuu hapa Tanzania vinalimwa wapi?
 
Kwa hiyo hata ice cream hupendi?

Itabidi ufuatilie kwa aunt ili walime sana maana lina faida kubwa hili zao la vanilla.
 
Kwa hiyo hata ice cream hupendi?

Itabidi ufuatilie kwa aunt ili walime sana maana lina faida kubwa hili zao la vanilla.
Sili kabisa harufu yake huwa nataka kutapika. You cant believe na ishi wanakokula hivi vitu kila siku lakini nilishindwa..
 
Thank you dear
Maadamu tungekuwa na watumishi wa wizara yetu kuhamasisha usafirishaji wa mazao yetu nje ya nchi bila usunbufu kwa hakika tungekuwa mbali sana kimaendeleo
hii ni kutokana na serikali yetu kua na imani potofu juu ya sekta ya kilimo!
 
Samahani mwenye kunielimisha juu ya kilimo cha Vanilla anisaidie elimu kuanzia mwanzo hadi mwisho maana nataka kujitosa kwenye kilimo hiki.
 
Ni kweli!Maparachichi ya Rungwe yanauzwa Uarabuni kwa nembo ya nchi jirani.
Mimi binafsi nilinunua mapararachichi supermarket moja nje nikaona baadhi ni SA na zingine Tz nilistaajabu sana
 
Msipende kuilaumu serikali kila kitu, kila kanda kuna kituo cha utafiti, siamini kama wadau hawa wanaoshinda jf wanashindwa kutembelea vituo hivyo na kupata elimu bure
Lakini wao wanataka waishi maisha ya raha
Halafu wanajisifia uzalendo kweli kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…