George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,672
- 6,272
Salaam wakuu..!
Nahitaji kufahamu kisima cha maji baridi (yaani maji yasiyokuwa na chumvi) huwa kinapatikanaje..?
Je,inategemea na eneo lako..?
Au ni jinsi/namna ya uchimbaji tu..?
Wataalamu wa hizi mambo naomba mnisaidie kuelewa,maana hapa mtaani kwangu kuna watu huwa wanaenda mbali sana kufuata maji ya kunywa yasiyo na chumvi,nilikua nafikiria kuitumia hii changamoto wanayokutana nayo kama fursa..!
Nahitaji kufahamu kisima cha maji baridi (yaani maji yasiyokuwa na chumvi) huwa kinapatikanaje..?
Je,inategemea na eneo lako..?
Au ni jinsi/namna ya uchimbaji tu..?
Wataalamu wa hizi mambo naomba mnisaidie kuelewa,maana hapa mtaani kwangu kuna watu huwa wanaenda mbali sana kufuata maji ya kunywa yasiyo na chumvi,nilikua nafikiria kuitumia hii changamoto wanayokutana nayo kama fursa..!