makugegamba
Member
- Mar 1, 2017
- 46
- 48
pole ndugu nilipoteza simu ndio nimelud tena baada ya muda mrefu kama bado hujafanikiwa nichekNipe maujanja mkuu vipi huko pumba inapatikana kwa wingi? Na soko lake linauhakika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pole ndugu nilipoteza simu ndio nimelud tena baada ya muda mrefu kama bado hujafanikiwa nichekNipe maujanja mkuu vipi huko pumba inapatikana kwa wingi? Na soko lake linauhakika?
Naomba mawasiliano yako ndugupole ndugu nilipoteza simu ndio nimelud tena baada ya muda mrefu kama bado hujafanikiwa nichek
Mkuu Mimi nipo moshi nilikuwa nataka kuanza hii biashara, tatzo nakosa soko lake, nianzie wapi mkuu?Biashara ya pumba nzuri na kama itakua bahati kupata faida ya haraka basi umetoka.
Ila pia ni biashara ngumu hasa wakati wa mvua.
soko la uhakika ni kusafirisha moshi kwa hapa Dar ni viwandani hasa viwanda vinavyozalisha vyakula vya Kuku Na mambo mengine
Mara nying huuzwa kwa kilo itategemea pumba yako ipoje ubora wake
Na ubora wa pumba upo ktk mambo mawili
Pumba iliyo na chakula yan chenga ya pili pumba kavu iliyo kaushwa juani vizur hii ndio dili sokon haina mambo meng
Tosheka na hayo ....
Kwa mnunuzi wa uhakika tuwasiliane PM, nafanya production ya Unga Dar na Retailers wa pumba wanasumbua kiasi na order za debe moja moja
Kwa nn unasema ni ngumu wakati wa mvua mkuu ni kwamba wateja hamna kwa kipindi hicho au vipi?Biashara ya pumba nzuri na kama itakua bahati kupata faida ya haraka basi umetoka.
Ila pia ni biashara ngumu hasa wakati wa mvua.
soko la uhakika ni kusafirisha moshi kwa hapa Dar ni viwandani hasa viwanda vinavyozalisha vyakula vya Kuku Na mambo mengine
Mara nying huuzwa kwa kilo itategemea pumba yako ipoje ubora wake
Na ubora wa pumba upo ktk mambo mawili
Pumba iliyo na chakula yan chenga ya pili pumba kavu iliyo kaushwa juani vizur hii ndio dili sokon haina mambo meng
Tosheka na hayo ....
Mkuu Mimi nipo moshi nilikuwa nataka kuanza hii biashara, tatzo nakosa soko lake, nianzie wapi mkuu?
Nina mtu ambaye yupo Mwanza so uhakika wa kutumiwa mzigo ni 100%
Nataka kuanza kuuza dagaa chakula cha Kuku na pumba
Ushauri wako mkuu
Manyara Sehemu Gani? Na wanauzaje?Mimi pia ningependa kujua faida ya biashara hii.Kuna mteja wa uhakika ananunua gunia kuanzia 16,000/- (kutegemea na ubora,kama ina chenga n.k) Tatizo nilitaka kuchukulia Manyara mpaka Dar ila tatizo gharama za usafiri hairudishi faida.Nifanyeje wakuu?
Songea hip aje achukue? Na kwa bei ganNjoo Songea uchukue
Songea hip aje achukue? Na kwa bei gan
Mkuu mambo vipi naomba mawasiliano yako tufanye hili jambo Dodomapole ndugu nilipoteza simu ndio nimelud tena baada ya muda mrefu kama bado hujafanikiwa nichek
pole ndugu nilipoteza simu ndio nimelud tena baada ya muda mrefu kama bado hujafanikiwa nichek
hapa hapa,kwa 1500 kwa debeSongea hip aje achukue? Na kwa bei gan
Pumba za mpunga unazo? Na unauzaje kwa zile laini na rafu?Yeyote anayehitaji pumba karibu inbox tuyajenge