Nahitaji kujenga nyumba Kibaha bajeti milioni 7

Nahitaji kujenga nyumba Kibaha bajeti milioni 7

Wakati mwingine unaweza ukaona ni rahisi lakini ukiingia site gharama zinabadilika sana.
Kuna vitu kadhaa ambavyo vinapandisha gharama kama vile eneo unalojenga ni tambarare au mlimani. Hapa naongelea gharama za foundation na nguzo.
Umbali was sehemu unapochukulia material na bei ya material.
Kikubwa cha kuzingatia uwe na Fundi mzuri na asikosee kukupigia mahesabu ya vifaa
Halafu kwenye TIGHT BUDGET kama hiyo, ni vizuri tuwe na tabia ya kununua vifaa vya ujenzi sisi wenyewe, tuache "utajiri" wa kuwapa mafundi fedha wakanunue vifaa. Wacha kabisa tabia hiyo!

Pili nunua vifaa kama vinavyohitajika SITE, usinunue vifaa na mwisho wa siku vinabaki na huyo fundi wala haoni huruma.

Mie hapa nimekuwa kwenye ukarabati wa nyumba yangu, sasa ukipita huku unakuta nusu mfuko wa simenti umeganda, ukiangali huku kuna karibu kilo tatu za misumari, basi ili mradi ni vurugu tu; na hivyo vifaa ni PESA!
 
Kaka hongera kwa kujichanga.
Ushauri wangu, kutana na fundi mshauri kwa usanifu yakinifu.
Humu utapoteza lengo hatimaye utakata tamaa.

UVIMO tuko Morogoro, tunajishughulisha na ujenzi Hadi hatua ya mwisho.

Ushauri ni sehemu ya kazi yetu.
Ukiwa, tuwasiliane nije kukufanyia tathmini ya mradi wako.
Hakuna gharama kwako ya kufika ulipo.
Pili, gharama zetu za ujenzi ziko chini sana ni levo ya kila mtanzania.

Namba yangu ni.
0753961896
0629361896
 
Lakini kusema kweli ujenzi ni mgumu hasa kama unakipato kidogo ndomana watu wengi.wanaotegemea kuanza ujenzi na fungu maalum wakipigiwa hesabu zajumla wengi hujikuta wanaona bora aanze kununua gari maana gharama zakununua gari zinafahamika ila nyumba ningumu kupata makadirio labda upige makadirio yajuu ushauri wangu hasa kwavijana wengi tunakwama hasa kwakukosea kupanga vipaumbele binafsi naona kijana bora ujenge kwanza hata kama vyumba viwili maana binafsi naona mfumo wetu waajira sio wauhakika hasa kwenye sekta binafsi.mlioajiliwa mnajua yanayowatokea huko maofsini jengeni ndugu zangu jenga.hata kimoja ukipata fungu lauhakika utajenga nyumba unayotaka mnaoamua kusomesha wachumba kwanza chaguo ni lenu kama umesoma ujumbe huu kwashida ukaelewa mwandiko niachie mwenyewe
 
Lakini kusema kweli ujenzi ni mgumu hasa kama unakipato kidogo ndomana watu wengi.wanaotegemea kuanza ujenzi na fungu maalum wakipigiwa hesabu zajumla wengi hujikuta wanaona bora aanze kununua gari maana gharama zakununua gari zinafahamika ila nyumba ningumu kupata makadirio labda upige makadirio yajuu ushauri wangu hasa kwavijana wengi tunakwama hasa kwakukosea kupanga vipaumbele binafsi naona kijana bora ujenge kwanza hata kama vyumba viwili maana binafsi naona mfumo wetu waajira sio wauhakika hasa kwenye sekta binafsi.mlioajiliwa mnajua yanayowatokea huko maofsini jengeni ndugu zangu jenga.hata kimoja ukipata fungu lauhakika utajenga nyumba unayotaka mnaoamua kusomesha wachumba kwanza chaguo ni lenu kama umesoma ujumbe huu kwashida ukaelewa mwandiko niachie mwenyewe
Kujenga a,k.a kuzika hela ardhini sio lelemama[emoji848]
 
Hapo sawa, ukiwa fundi unaenjoy Sana, unaweza hata jenga kwa m 2 tu[emoji28][emoji1787][emoji1787] ( joke mkuu
Kama ingekuwa sijengi mwenyewe sidhani kama ingekuwa imefika hapo.nashukuru mungu walau kwa huu ujuzi mdogo maana mafundi wengi kazi wanaozofanya mungu tu ndoanaju
 
Kama ingekuwa sijengi mwenyewe sidhani kama ingekuwa imefika hapo.nashukuru mungu walau kwa huu ujuzi mdogo maana mafundi wengi kazi wanaozofanya mungu tu ndoanaju
Hongera mkuu

Mafundi wanafanyaje? Kulipua kazi?
 
Hawana mbinu za mojakwamoja kama ujuavyo mkuu mtu asiye mwaminifu atafanya lolote wakati wowote kwamazingira yoyote kwekweli mkuu hali sio nzuri sana kwenye baadhi ya nyumba sioni mwongozo sahihi ili mtu apate.makazi bora kisingizio chamafundi wengi wanalalamikia malipo duni lakini mm naona sio sababu kubwa sana nafikiri namna ya kupunguza changamoto hii maana kunamambo mengi sana lakini walau kama utamchukua fundi kwenye kazi uliyoiona nakuiona haitoshi uwenauwezo wa kutambua kazi nzuri na mbaya
 
Kuna vya kujofunza hapa
Sure, ila katika yote wanaotaka kuanza kujenga wajue ujenzi sio lelemama.

Fundi akikuambia andaa milioni 4 wewe andaa 6M ili uwe safe side. Mbali na hapo utaumbuka.
 
Hongera sana.

Nimejenga Goba room tatu mbili master, jiko sebule baraza mbili, shimo la choo nimefunika.

Nimepaua nyumba tayari.

Hadi hapo million 15
Fanya tuone picha mkuu..maana kuna namna kwa ujenzi wa goba 15M ujenge room tatu, upaue na kuchimba choo mmh sijui ni nyumba ya standards gani unaongelea fanya tuone picha tafadhali.
 
Sure, ila katika yote wanaotaka kuanza kujenga wajue ujenzi sio lelemama.

Fundi akikuambia andaa milioni 4 wewe andaa 6M ili uwe safe side. Mbali na hapo utaumbuka.
Wewe kweli mafundi unawajua
 
Back
Top Bottom