Nahitaji kujenga nyumba Kibaha bajeti milioni 7

Ko hiyo cost ya ufundi inahusu ring beam wala nguzo au
 
Unaweza kujenga vyumba viwili na sebule na choo ndani ila jiko liwe njee. Vyumba na sebule viwe (8ft x 8ft). Pia uongeze 1.5m hapo iliikamilike.
Hivyo vyumba au tuvyimba? Yaani sebule iwe na mita 2 na point?
 
Nimetumia 12M kujenga 2 rooms moja ikiwa master, public toilet, jiko na sebule lakini nimeishia kuweka bati, milango na madirisha Mkuu. Unaweza kupata picha hapo
Huenda hatujamuelewa boma atamaliza ila cyo mpka bati
 
Nimetumia 12M kujenga 2 rooms moja ikiwa master, public toilet, jiko na sebule lakini nimeishia kuweka bati, milango na madirisha Mkuu. Unaweza kupata picha hapo
Mnajitesa kwa maslahi ya Nani?
 
Inategemeana pia na site, kwa mfano mimi msingi peke yake ilinigharimu 5.8 , zilotumika tofali za inch 6 1350, imagine hapo msingi tu
 
Wakuu nimejichanga nimefanikiwa kukusanya miilliomn 7, nina kiwanja Kibaha, naomba ushauri kwa million 7 naweza kujenga nyumba ya vyumba vitatu, choo na sebule?

Mwenye mawazo ya bajeti hii na aina ya nyumba naombeni mtazamo wenu.
Unajenga nyumba umechanja?
 
Wakuu nimejichanga nimefanikiwa kukusanya miilliomn 7, nina kiwanja Kibaha, naomba ushauri kwa million 7 naweza kujenga nyumba ya vyumba vitatu, choo na sebule?

Mwenye mawazo ya bajeti hii na aina ya nyumba naombeni mtazamo wenu.
Kwa ukubwa wa nyumba unayoitaka, milion 7 haitoshi kumaliza jengo lote
Katika hiyo milion 7, kumbuka kuna pesa ya ufundi pia...ukijibana sana inaweza ikakufikisha mpaka hatua ya mkanda wa juu
Piga hesabu ya chini kabisa
Tofali 3000@1,000= 3,000,000
Cement 60 @ 15,000 = 900,000
Nondo 50 chini na juu@ 25,000=1,250,000
Mpaka hapo imeshafika milion 5+, bado kokoto, mchanga, cement kwa ajili ya zege la mikanda n.k
 
Na ongeza ya ufundi at least 1200,000/=
 
Wakuu nimejichanga nimefanikiwa kukusanya miilliomn 7, nina kiwanja Kibaha, naomba ushauri kwa million 7 naweza kujenga nyumba ya vyumba vitatu, choo na sebule?

Mwenye mawazo ya bajeti hii na aina ya nyumba naombeni mtazamo wenu.
Ni nyumba yenye hadhi ipi hiyo? Nina uzoefu wa kutosha kwa hiyo mambo, iwe simple saaaana, only a singo room and over
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…