mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,735
Hahahhaa mkuu mimi naye mtu wa plaster sana... Yeye anataka fluent one😂Mtafute Paula Paul na cute b au 4G LTE
Mimi ninge kusaidia tatizo changu naunga naunga sana, The The ..... huwa nyingi sana.
Hao juu nimewashuhudia waki kitwanga swafi kabisa
Kuna Ile series ya comedy ya jamaa kutoka nchi mbalimbali wamekutana darasani kujifunza English. itakufaa sana kwa kuanzia.
mimi huwa nasikiliza na kusoma vitu vya kiingereza 70%. imesaidia Kwa kiwango flani
Kwa ambao hatujafika chuo kikuu tuanzie wapi mkuuu.Kama umefika hadi Chuo Kikuu; anza na tense, then parts of speech. Ukimaliza na kuzi-master vizuri, then rudi tuendelee na mambo mengine.
Anza na vitu vya kawaida: salamu, majina ya vitu, family trees, n.k.
Anza na vitu vya kawaida: salamu, majina ya vitu, family trees, n.k.
But that's how we, all, were taught back in school. And here we are, knowing some abcs.
gharama za kukwepa kusoma english medium mbeleni huwa kubwa kupindukia
vitoto vya chekechea vya english medium vinaongea kingereza cha uhakika humu watu wazima wanahaha!!! wazazi pelekeni watoto english medium
Vipi na mimi nije mkuu ?I'll take that as a compliment SM.
Namsubiria aje.
It may sound harsh but you said the trueth. However, recorgnizing that someone need to improve his English is one step ahead towards the better tomorrow.gharama za kukwepa kusoma english medium mbeleni huwa kubwa kupindukia
vitoto vya chekechea vya english medium vinaongea kingereza cha uhakika humu watu wazima wanahaha!!! wazazi pelekeni watoto english medium