Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza unatakiwa kuondoa mentality za kupigana na watu fanya karate Kama maisha na sio kutafuta ugomvi.vipi sasa kama umejifunza ukawiva alafu hakuna mtu anaekuchikoza si utashindwa pakwenda kuapply ujuzi au inakuaje hapo
Na hicho ndicho cha kujiandaa nacho..ungekuwa uko vizuri hata huo ugomvi wa club usingetokea..yaani ungedharau tu au wewe hata kama ulikosewa ungeomba msamaha.vipi sasa kama umejifunza ukawiva alafu hakuna mtu anaekuchikoza si utashindwa pakwenda kuapply ujuzi au inakuaje hapo
Unatafuta watu wa kukuchokoza uwadunde.. au tembea mwenyewe usiku wa manane utakutana na vibaka uapply hayo mapigo yako kwaovipi sasa kama umejifunza ukawiva alafu hakuna mtu anaekuchikoza si utashindwa pakwenda kuapply ujuzi au inakuaje hapo
Kuna jamaa alikuwaga yuko mabatini sijui kama bado yupo, kwenye dojo lake vijana wa FFU pale mabatini wallfare walikuwa wengi sanaHaya mafunzo ni ya muhimu sana,kwa Mwanza watalaamu wanapatikana wapi?
Laki nne, ila kwa akili yako hii hawakupi. Walevi hawauziwi/kumilikishwa.hivi zinauzwa sh ngapi zile na utaratibu wa kuimiliki ukoje...
Kule gym Kuna Yale magunia unaenda kupiga Hadi yadondoke.vipi sasa kama umejifunza ukawiva alafu hakuna mtu anaekuchikoza si utashindwa pakwenda kuapply ujuzi au inakuaje hapo
siwaambii kama natumia kilevi, na hiyo laki nne ukilipa hakuna tena malipo ya kuilipia kila mwezi?Laki nne, ila kwa akili yako hii hawakupi. Walevi hawauziwi/kumilikishwa.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
sasa unaweza ukapiga magunia wee mpaka ukatoka sugu za mikono ila kama huna skills za kupigana ni kazi bureKule gym Kuna Yale magunia unaenda kupiga Hadi yadondoke.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Great mind.Na hicho ndicho cha kujiandaa nacho..ungekuwa uko vizuri hata huo ugomvi wa club usingetokea..yaani ungedharau tu au wewe hata kama ulikosewa ungeomba msamaha.
👍karate haitakuangusha
Nakuona" Kanji Sempai "RH🤣Kwa wanaohitaji kujifunza Martial arts,
Self - defence
Wanaweza kunicheki
Tuma neno "Martial arts"
0693322300
Uwe Dar es salaam.
Dojo lipo Upanga karibu na ubalozi wa uswizi,
Jingine Mikocheni Pale Azura.
Tsh 15,000 Kwa kipindi,
Kwa mwezi 140,000/=
🤣🤣Piga Kombat mzee,
Binafsi siwezi kusimama na mtu zaidi ya dakika moja, yaani dakika moja hutoboi
Acha kumdanganya mwenzio mkuu, kwamba wewe unaweza kushinda kwa Kila pambano hapa chini ya jua, Nina wasiwasi na sehemu ulipochukua hiyo Kombat yako.Piga Kombat mzee,
Binafsi siwezi kusimama na mtu zaidi ya dakika moja, yaani dakika moja hutoboi
kutembea na kisu kutakufanya uonekane wewe ndio mkorofi, kwenye nyumba za starehe Kuna Kila aina ya silaha ni Chupa,class,viti,meza,fimbo za pull table na mipira yake vyote ni silaha tatizo nikukosa ujasiri tu wakuvitumia, unatakiwa uwe "Chizi kiasi"ndio maana Wakora wengi huvuta bangi na kutumia vilevi vikali ili viwavyatuwe.Mkuu ina maana hata mfukoni hukua na 🔪
Yaani ujue vyema ile sanaa halafu mtu akukaribie na nyembe shingoni ?!!!Huh 😲🤣UWE unatembea na vilainishi pia.....na martials art zako ukiguswa na nyembe kwenye mshipa mkubwa hutoki mkkuuu......usiishi kizembe...