Nahitaji kujifunza Martial Art

Nahitaji kujifunza Martial Art


Changanya michezo ya mapigano utanishukuru. Usijikite kwenye mchezo mmoja tu labda iwe Shaolin (Sio Shaolinj).

Nimeanza kujifunza boxing.

Nilipitia karate kiasi. Nikapitia Muaithai kiasi (kiupande wangu hawa majamaa wana mazoezi magumu sana). Sasa najifunza boxing.

Ukiwa unapasha mwenyewe kuna mapigo unachanganya unakuwa unayabuni mwenyewe.

Nimeamua kuchanganya baada ya kuona wale vichaa wa MMA wanavyopigana. MMA mafunzo yao yamechanganya michezo ya aina tofauti.

Cha muhimu zaidi uwe mvumilivu wa mazoezi.

Mae geri Squat/ Squatting Geri. Siku ya kwanza nimepigishwa 100 kwa 100 zote. Nyama za nyuma ya mapaja ziliuma vibaya mno. Ukitembea unasikia kabisa miguu inaita. Ukiamka asubuhi kama haujapiga angalau squats kidogo utatembea kama una mshipa. Kwenye long call utapata tabu kidogo ile ishu ya kuchuchumaa ila mwili ndiyo unajengeka ukiwa mvumilivu.
Inaelekea ulikuwa kitombi sana, haya mazoezi na sex ni kama umeme na maji
 
......it would be great if everyone on the world know Karate because it would be a less violence because karate training is a philosophy...it's not only physical training but it strengthen your physiology,emotional and mental .... People who are good in martial arts never use it because when you you bring trouble to me..i push it away......Chuck Norris...
 
......it would be great if everyone on the world know Karate because it would be a less violence because karate training is a philosophy...it's not only physical training but it strengthen your physiology,emotional and mental .... People who are good in martial arts never use it because when you you bring trouble to me..i push it away......Chuck Norris...
that's good man. vipi upo kwenye ile app ya kuchezea draft?
 
Miaka ya nyuma nlikuwa nacheza sana ngumi,nlikuwa vzr sana
Lakini nlikuwa najifua kwa kujilinda tu
Nlifuliwa sana na yazidu

Ova
lakini si unaendelea kula tizi kiasi!!!
 


Inaelekea ulikuwa kitombi sana, haya mazoezi na sex ni kama umeme na maji
Ahh wapi Mzee!

Huwa sisumbui wanawake ila wao ndiyo wananisumbua. Muonekano wangu una taswira ya mtoto wa mama/bi shoo na wengine wamefika mbali na kudai Hammaz ni HB. Nasumbuliwa na allergy kibao! Tumbo langu kula vyakula vya mtaani haliwezi ni kila tu naendesha. Hivyo nina aina ya vyakula vyangu ninavyokula.

Mazingira hayo wakati nasoma yalinifanya nionekane wa kishua na muonekano wangu daaah ulinigharimu! Ukizingatia huwa sina habari na mambo yasiyonihusu ilikuwa ni balaa! na mapigo yangu yalikuwa ni ya ki-hip hop kisa mimi mweupe wanapagawa kabisa.

Hapo sasa wanawake ndipo walipoanza kunisumbua. Nimekaza mwanangu mpaka basi! Wana wananiona mimi mayai kumbe mwamba makarateka! Ila kuna wawili walinivuruga Mzee Faith na Lulu ni black wa ukweli hivi! Ila aliyenivuruga zaidi alikuwa ni Faith. Tatizo alikuwa ni sister duu na kwa muonekano wangu alidhani mimi ni brother man.

Mwamba nilikaza mpaka basi! Kuna siku yale mambo yamejaa kibubu nikasema huyu "she" nipite nini?! Mbaya zaidi master alikuwa anapenda kufanya demo na mimi zaidi. Kwa vile sikiwahi kukutana na mwanamke yeyote kimwili nikawa muoga! Mungu anisamehe nikajichua bhana! Jioni kwenye mazoezi nilifikisha squat ya 50+ mapaja yakaanza kuita. Nikawahi kuchoka na maumivu ya mwili nikawa nayasikia mapema tu. Master akaniangalia halafu akanipotezea.

Napenda sana mazoezi. Tatizo sasa hivi kazi zinanibana! Inafika kipindi mpaka naweka equation na kuikokotoa ili niangalie uwepesi wa kazi yangu niufanyaje ili nipate muda. Huwa nafanya mazoezi kwa masaa 3 mpaka 4. Sasa nafanya kwa nusu saa najisikia vibaya sana.
 
Hatujuani mkuu, pia hujui mimi ni nani zaidi ya fake ID, Hujui maisha niliyopitia, hujui kazi yangu asili ni nini, hujui mpaka sasa nna 35+ nimepitia harakati zipi za maisha, hujui nimenusurika mara ngapi kufa

Kifupi mimi ni cha mtoto bado nahitaji kujifunza, nikikwambia wasifu wa walionifundisha mimi ndo utajua kwamba mimi ni cha mtoto

Pia sijasema kwamba kila pambano nitashinda, ila asili ya kombat ni kuua, kusababisha kilema cha maisha na kuvunja
Na yenyewe haihitaji pumzi sababu haipo kwa ajili ya mashindano ipo kwa ajili ya kujilinda na adui pia unaambiwa kabisa, "KOMBAT HAINA MAJARIBIO".
Sababu yenyewe inahusisha kupiga maeneo hatarishi
Yapo mengi ningeweza kuandika hapa, kifupi nilianza kufundishwa nikiwa nna 19yrs mpaka nafikisha 28yrs, wakati naanza nilikua napenda sana ugomvi ila baadae nikaanza kuogopa nikiona sehemu ina dalili ya ugomvi natafuta njia mapema

Ni sanaa nzuri ya kujilinda ila ukitaka uinjoi usiwe mkorofi, pia hata kama unapenda ugomvi ila kule unaandaliwa kisaikolojia hata kama wewe ni mtukutu ukitoka kule unabadilika sana kitabia

Kifupi unafundishwa mambo mengi sana

Ila sasa natafuta mwalimu wa Kravmaga
Mbona kama hii ndio hufundishwa jeshini mkuu hasa special forces?
 
Hapana sio kweli, ila ni lazima ujue kupiga push ups ili uwe na ngumi nzito pia ukomae kwenye kupiga nakoz

Kifupi push ups ni mazoezi ya kuanzia
Jana na leo nimepiga push ups 80,Leo 70 mwili unauma hatari hivyo vichura sijui itakuwaje maana tangia shule ya msingi sijawahi tena. Mazoezi yanahitaji moyo mkuu.
 
Back
Top Bottom