Nahitaji kujifunza Martial Art

Nahitaji kujifunza Martial Art

Ungekuwa Dar ningekuunganisha kwa jamaa zangu, wapo wawili na wote wana Dojo zao
Dah!
shida sipo huko mkuu ila unaweza niulizia kwao mkuu. Huwa wana fahamiana ....unaweza kuta wana jamaa zao huku mkuu. Nitashukuru 🙏
 
Hapana, mtaweza ila hamtakuwa na Perfomance nzuri kama wasiooa au kuendekeza sex, ila kama unaweza kufanya tendo la ndoa kwa wiki mara moja, kwa mwezi mara nne haina shida

Ila pombe na sigara itabidi uachane navyo
Ahsante mkuu, hivi vingine 2 pombe na sigara situmii kabisa,ninaweza kujizuia kwenye sex.
 
Raha ya mazoezi mfukoni uwe njema ndio utafanya mazoezi kwa raha na usiwe mjasiriamali .sio Leo unafanya kesho haufanyi inakuwa haina maana.
Hii ndio sababu iliyonifanya nikawa mvivu wa mazoezi kipindi cha nyuma nikiwa sina majukumu mengi kama sasa hivi, ila nitajaribu tena kwa ajili ya afya na siyo kupambana na mtu.
 
Unapiga ngumi nyingi hewani,unakwepa,unatumia footwork yako pia,yaani zoezi hili unafanya wewe mwenyewe
Inakutengenezea speed pia na uwepesi
Wakati unatoa punch unatumia mwili wako wote
Alafu inasaidia kupunguza calories mwilini sana
Mimi mtu wa mtungi ila bila vimazoezi ningeshafeli

Ova
Hii nitajaribu maana unakuwa mwenyewe.
 
mwenye connection ya mwalimu mzuri wa martial art, simple techniques, zinazofunzika Kwa haraka... anisaidie.

location : songea town.

nataka nibadili mfumo wa mazoezi naona huku kwenye soccer vijana wataniua bure ......

Ikiwa ni tofauti na shotokan karate itakua poa zaidi ........boxing hapana.
Simple techniques, Zinazofunzika kwa haraka= no easy task in a battle field.
 
Simple techniques, Zinazofunzika kwa haraka= no easy task in a battle field.
ndugu yangu kuna mafunzo mengine Sisi watu wazima ni shughuli kuyamaster au utatumia muda mrefu tofauti na vijana ...... mifupa imekomaa tayari.

wala sihitaji kua master mkuu .....nataka iwe ni sehemu ya mazoezi yangu ama mchezo pia like shotokan karate.

Nipe connection mkuu ....Kwa huku songea town.
 
ndugu yangu kuna mafunzo mengine Sisi watu wazima ni shughuli kuyamaster au utatumia muda mrefu tofauti na vijana ...... mifupa imekomaa tayari.

wala sihitaji kua master mkuu .....nataka iwe ni sehemu ya mazoezi yangu ama mchezo pia like shotokan karate.

Nipe connection mkuu ....Kwa huku songea town.
Nashukuru Sana kwa ufafanuzi murua mkuu, kwa huko Sina connection yoyote boss.
 
Back
Top Bottom