Godfrrey poul
New Member
- Apr 11, 2018
- 4
- 4
wapo buzuruga mtena BHaya mafunzo ni ya muhimu sana,kwa Mwanza watalaamu wanapatikana wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wapo buzuruga mtena BHaya mafunzo ni ya muhimu sana,kwa Mwanza watalaamu wanapatikana wapi?
Dah!Ungekuwa Dar ningekuunganisha kwa jamaa zangu, wapo wawili na wote wana Dojo zao
Ahsante mkuu, hivi vingine 2 pombe na sigara situmii kabisa,ninaweza kujizuia kwenye sex.Hapana, mtaweza ila hamtakuwa na Perfomance nzuri kama wasiooa au kuendekeza sex, ila kama unaweza kufanya tendo la ndoa kwa wiki mara moja, kwa mwezi mara nne haina shida
Ila pombe na sigara itabidi uachane navyo
Mimi nimekuelewa mkuu.Nimeandika nimefuta, nikaandika tena ili nikujibu kupitia PM nikafuta
Naomba nisikujibu mkuu
Hii ndio sababu iliyonifanya nikawa mvivu wa mazoezi kipindi cha nyuma nikiwa sina majukumu mengi kama sasa hivi, ila nitajaribu tena kwa ajili ya afya na siyo kupambana na mtu.Raha ya mazoezi mfukoni uwe njema ndio utafanya mazoezi kwa raha na usiwe mjasiriamali .sio Leo unafanya kesho haufanyi inakuwa haina maana.
Hii nitajaribu maana unakuwa mwenyewe.Unapiga ngumi nyingi hewani,unakwepa,unatumia footwork yako pia,yaani zoezi hili unafanya wewe mwenyewe
Inakutengenezea speed pia na uwepesi
Wakati unatoa punch unatumia mwili wako wote
Alafu inasaidia kupunguza calories mwilini sana
Mimi mtu wa mtungi ila bila vimazoezi ningeshafeli
Ova
Simple techniques, Zinazofunzika kwa haraka= no easy task in a battle field.mwenye connection ya mwalimu mzuri wa martial art, simple techniques, zinazofunzika Kwa haraka... anisaidie.
location : songea town.
nataka nibadili mfumo wa mazoezi naona huku kwenye soccer vijana wataniua bure ......
Ikiwa ni tofauti na shotokan karate itakua poa zaidi ........boxing hapana.
ndugu yangu kuna mafunzo mengine Sisi watu wazima ni shughuli kuyamaster au utatumia muda mrefu tofauti na vijana ...... mifupa imekomaa tayari.Simple techniques, Zinazofunzika kwa haraka= no easy task in a battle field.
Nashukuru Sana kwa ufafanuzi murua mkuu, kwa huko Sina connection yoyote boss.ndugu yangu kuna mafunzo mengine Sisi watu wazima ni shughuli kuyamaster au utatumia muda mrefu tofauti na vijana ...... mifupa imekomaa tayari.
wala sihitaji kua master mkuu .....nataka iwe ni sehemu ya mazoezi yangu ama mchezo pia like shotokan karate.
Nipe connection mkuu ....Kwa huku songea town.
Sawa msemaji mkuuUnapigwa na kisu chako