Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Nahitaji kujua elimu ya Lesle Dulle mgombea wa ubunge kupitia CCM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anagombea jinja au masakaNahitaji kujua elimu ya Lesle Dulle mgombea wa ubunge kupitia CCM
Sasa wewe meneja wa makampuni mbona unatoa siri ya ya chama chenu na tume! Uchaguzi huo ni siri yenu vyama vingine havitakiwi kuujua.Nahitaji kujua elimu ya Lesle Dulle mgombea wa ubunge kupitia CCM
Ila dereva wa mbunge lazima awe na form four. Nchi ngumu sana hii.minimum qualification ya kugombea ubunge ni just kujua kusoma na kuandika tuu, nadhani ni darasa la tatu au lanne hivi,
Ukataji wa kona katika gari unahitaji shule.Ila dereva wa mbunge lazima awe na form four. Nchi ngumu sana hii.
zifuatazo ni sifa ya mgombea ubunge , 01- awe raia wa Tanzania 02.ajue kusoma na kuandika , awe awe mwanachama wa chama cha siasa kilichosajiliwa kisheria, asiwe ameshaitakiwa kwa kosa la jinai n.kAnagombea jinja au masaka
Ila kutunga sheria za nchi akuhitaji shule!Ukataji wa kona katika gari unahitaji shule.
Hata kidogo ingawa unaweza kutunukiwa udaktari kwa kukubuhu upashkuna.Ila kutunga sheria za nchi akuhitaji shule!
Huenda anagombea south Africa kwani majina yamefanana na ya hukoAnagombea jinja au masaka
Kijana naona una stress za maisha huko USA!Mambwa haya
Bure kabisa haya maccm...nao ni watu hawa au maharamia?
CV na elimu yake inaenda kua mavi matupu
Nahitaji kujua elimu ya Lesle Dulle mgombea wa ubunge kupitia CCM
Nimgombea ubunge kupitia ccm jimbo gani funguka acha uf*l*Nahitaji kujua elimu ya Lesle Dulle mgombea wa ubunge kupitia CCM
Pole sana ila tafuta jinsi ya kuondokana nazo maana michango yako JF yaonesha mambo siyo mazuri kwa upande wako.Kila mtu ana stress ndugu kutokana na maisha yake
Hamna mtu hana shida,Gates mwenyewe kila siku analia
Wewe mwenyewe hapo una shida zako mpaka kwenye ukope,upo hapa unanitolea hukumu!
Jesus!
Rudia kusoma hii! Kila mtu anaona usivyo sawa! Tuliza akili kijanaMambwa haya
Bure kabisa haya maccm...nao ni watu hawa au maharamia?
CV na elimu yake inaenda kua mavi matupu