Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
- Thread starter
- #21
Sasa ndugu hiyo mada haieleweki kivipi, jaribu kudadavua labda unaweza kueleweka. Sio kulalamika, ukiona uzi hauuelewi ni vyema ukatulia tu na sio kuwaharibia siku wachangiaji.Mmmm Meneja wa Makampuni unakuja na mada isiyoeleweka sasa nitakuamini vipi kuendesha kampuni yangu?huyu uliyemtaja anagombea ubunge wapi?but definitely huku Lingusenguse hatuna mgombea wa jina hilo na uchaguzi hatuna!