Nahitaji kujua kazi maalumu za askari wa kila cheo(JWTZ)

Nahitaji kujua kazi maalumu za askari wa kila cheo(JWTZ)

EvilSpirit

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2017
Posts
10,576
Reaction score
16,644
Ninahitaji kujua mambo kadhaa yanayohusiana na shughuli mbalimbali zinazofanywa na askari wa vyeo tofauti tofauti vya kijeshi.Kuanzia cheo cha chini kabisa mpaka cha mwisho.Namaanisha majukumu ya kila siku.Mfano ukipita lugalo unaweza kuwakuta kuruta wanafyeka nyasi sijui kazi zao ndio za aina hiyo hizo kila siku?

Na katika medani za kivita ni askari wa vyeo gani huwa wanaingia kwenye uwanja wa vita kwa maana ya kushiriki vita na sio wale wapanga mikakati.Nimekuwa nikisikia askari wa kuanzia nyota moja wanakuwa wanaamrisha kikosi cha watu kadhaa.Askari wa nyota mbili nae ana watu kadhaa zaidi ya wa nyota moja.
 
Ninahitaji kujua mambo kadhaa yanayohusiana na shughuli mbalimbali zinazofanywa na askari wa vyeo tofauti tofauti vya kijeshi.Kuanzia cheo cha chini kabisa mpaka cha mwisho.Namaanisha majukumu ya kila siku.Mfano ukipita lugalo unaweza kuwakuta kuruta wanafyeka nyasi sijui kazi zao ndio za aina hiyo hizo kila siku?

Na katika medani za kivita ni askari wa vyeo gani huwa wanaingia kwenye uwanja wa vita kwa maana ya kushiriki vita na sio wale wapanga mikakati.Nimekuwa nikisikia askari wa kuanzia nyota moja wanakuwa wanaamrisha kikosi cha watu kadhaa.Askari wa nyota mbili nae ana watu kadhaa zaidi ya wa nyota moja.

Ndugu acha kufuatilia mambo ambayo hayakuhusu!
Kama ungetaka uyajue hayo, ungetafuta nafasi uingie humo jwtz, jkt n.k!

Kama una ndugu/rafiki yako ambaye ni askari, hebu muulize hayo maswali uone kama atakujibu unavyotaka!

Hivi mfano ikatokea siku ukagundua mimi nimepata mafunzo flani hivi ambayo ni kuuwa tu, utanichukuliaje...!??
 
Nenda Upanga pale kuna ofisi za wenye vyeo vya juu jwtz kawaulize,usihofu watakufahamisha tu na utafahamu vizuri sana.pale kuuliza ni bure kabisa.
Angalizo:ukiingia mle ndani ni marufuku kuuliza chooni ni wapi,ukibanwa mkojo wewe achia mkojo tu hata kwenye kiukuta chochote pale.
 
Ninahitaji kujua mambo kadhaa yanayohusiana na shughuli mbalimbali zinazofanywa na askari wa vyeo tofauti tofauti vya kijeshi.Kuanzia cheo cha chini kabisa mpaka cha mwisho.Namaanisha majukumu ya kila siku.Mfano ukipita lugalo unaweza kuwakuta kuruta wanafyeka nyasi sijui kazi zao ndio za aina hiyo hizo kila siku?

Na katika medani za kivita ni askari wa vyeo gani huwa wanaingia kwenye uwanja wa vita kwa maana ya kushiriki vita na sio wale wapanga mikakati.Nimekuwa nikisikia askari wa kuanzia nyota moja wanakuwa wanaamrisha kikosi cha watu kadhaa.Askari wa nyota mbili nae ana watu kadhaa zaidi ya wa nyota moja.
Utahangika kupata Majibu na najua utayapata mengi tu, ila Kazi yao Kuu ( Mama ) ni Kuilinda Tanzania na Watanzania wote kwa Gharama yoyote.
 
Nenda Upanga pale kuna ofisi za wenye vyeo vya juu jwtz kawaulize,usihofu watakufahamisha tu na utafahamu vizuri sana.pale kuuliza ni bure kabisa.
Angalizo:ukiingia mle ndani ni marufuku kuuliza chooni ni wapi,ukibanwa mkojo wewe achia mkojo tu hata kwenye kiukuta chochote pale.
Asije akaambulia vichura chura tu
 
Hivyo Hivyo Ulivyo Nakujulisha Tu, Kuruta Ni Awapo Mafunzoni Tu, Hapo Lugalo Hao Ni Private (Shati Tupu)
Unapowaona Wanafyeka Hayo Ni Majukumu Kama Kufua Boxer Yako, Kupiga Mswaki, Kufua Nguo.
Nenda Jukwaa La Intelligence Utapata Mengi
 
Nenda Upanga pale kuna ofisi za wenye vyeo vya juu jwtz kawaulize,usihofu watakufahamisha tu na utafahamu vizuri sana.pale kuuliza ni bure kabisa.
Angalizo:ukiingia mle ndani ni marufuku kuuliza chooni ni wapi,ukibanwa mkojo wewe achia mkojo tu hata kwenye kiukuta chochote pale.
Pakia ukoo wenu wote wa manyani kwenye trekta pengine ndio mkaulize
 
Ndugu acha kufuatilia mambo ambayo hayakuhusu!
Kama ungetaka uyajue hayo, ungetafuta nafasi uingie humo jwtz, jkt n.k!

Kama una ndugu/rafiki yako ambaye ni askari, hebu muulize hayo maswali uone kama atakujibu unavyotaka!

Hivi mfano ikatokea siku ukagundua mimi nimepata mafunzo flani hivi ambayo ni kuuwa tu, utanichukuliaje...!??
Mtu kutaka kujua jambo ndio unatafsiri kuwa nafuatilia mambo yasiyonihusu.nipe sababu 5 kwanini nisikuite mpumbavu wa wapumbavu
 
Unatujaribu eeeh! Siri za jandoni zinabakia jandoni,kule kwetu zenjibar hua wanawake Wana msemo wao kuwa,mwanamke asieolewa haendi harusini,Sasa wewe wataka ya harusini ya Nini?.
We kwani umeolewa?,naona unaleta mambo ya harusini sehemu isiyohusika
 
nakushauri nenda makao makuu ya jeshi utajibiwa maswali yako yote haya kwa ufasaha zaidi, humu hutapata majibu mazuri sana. ama nenda wizara ya ulinzi na jeshi la kujenga taifa.

ila watahitaji kujua hasa nia na mazumuni yako ni yapi ukiwajibu na wakalizika watakupa ushirikiano mzuri na vichura viwili vitatu ili ubaki na kumbukumbu nzuri kwa watakayokuelezea.
 
Back
Top Bottom