Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ID yako ( haswa inavyoitwa ) inasadifu 100% ulivyo hasa Ubongoni ( Akilini ) mwako Ndugu.Sio kweli .
Kwani nchi zenye Vita wanajeshi wao HAWALINDI?.
amani ya nchi inaanza na wewe SIO JESHI
ID yako ( haswa inavyoitwa ) inasadifu 100% ulivyo hasa Ubongoni ( Akilini ) mwako Ndugu.
Kwanini uliamua Kujiita Mjingamimi kama ID yako?Kwani Syria,Somalia huko hakuna wanajeshi?.
Funguka AKILI.
Amani inalindwa na wewe mwenyewe
Sio kweli .
Kwani nchi zenye Vita wanajeshi wao HAWALINDI?.
amani ya nchi inaanza na wewe SIO JESHI
Kwani Syria,Somalia huko hakuna wanajeshi?.
Funguka AKILI.
Amani inalindwa na wewe mwenyewe
Anza kufanya Ujinga uone kali yake... watakutuliza tu wanaume wa kazi
Comments zako wanazisoma vzr Jichanganye uone !!!??
Hivi nchi zisizokuwa na amani uwa hazina wanajeshi?.
Tuwaze sote
Kwenye vita mtandaji mkuu ni coplo na captain, kwa jeshi la polisi kuna mtu anaitwa maja huwa anakuwa na belti imepita kiuoni na nyingine nusubega kuungana na wa kiunoni pia huyu kwa jeshi la polis ndio mtendaji mkuu wa kaz za kila siku. Hayo ndio nayaelewaNinahitaji kujua mambo kadhaa yanayohusiana na shughuli mbalimbali zinazofanywa na askari wa vyeo tofauti tofauti vya kijeshi.Kuanzia cheo cha chini kabisa mpaka cha mwisho.Namaanisha majukumu ya kila siku.Mfano ukipita lugalo unaweza kuwakuta kuruta wanafyeka nyasi sijui kazi zao ndio za aina hiyo hizo kila siku?
Na katika medani za kivita ni askari wa vyeo gani huwa wanaingia kwenye uwanja wa vita kwa maana ya kushiriki vita na sio wale wapanga mikakati.Nimekuwa nikisikia askari wa kuanzia nyota moja wanakuwa wanaamrisha kikosi cha watu kadhaa.Askari wa nyota mbili nae ana watu kadhaa zaidi ya wa nyota moja.
Nashukuru sana mkuu kwa muongozo wako.Hao wanaojibu kama wamejinyea nitakuwa nawajibu kadri ya mavi yaoAchana na wanaokubeza, ingia Google andika jwtz, link ya Kwanza ndio tovuti ya jeshi lako, jeshi liko imara, jeshi halishindwi, kila kitu unachotakiwa kujua raia,kipo hapo. Nenda kalijue jeshi lako na ujivunie kulindwa na jeshi kamili.
Kama unachazaidi, mawasiliano yapo, andika barua Pepe, piga simu utajibiwa.
Hajui Kama kazi yenu Ni kufyeka tu majani
Acha ufala we fala, wachangiaji ndio sisi sasa tumekujaKwasababu njia rahisi nenda pale Lugalo, ukiingia tu ndani waulize wale ma MP.
Kwani huoni uzi umekosa wachangiaji?
Si kweli nini na wewe acha kuwa lijingaSi kweli.
Mkuu Ni lijinga hilo jitu pengine lenyewe linavyokosa cha kuchangia linafikiri kila mtu yupo kama lenyeweAcha ufala we fala, wachangiaji ndio sisi sasa tumekuja
Nadhani hata wewe unastahili pole kwa kuwa mtupu kuhusu mada na kutokuja na majibu ya ninachohitaji kufahamuDaaar pole San jamaa angu ww km unatak kujua majukumu ya hao watu subilia upate nafasi ya kuingia huk ndio utaenda kuyafahamu vizr majukumu Yao saw