Nahitaji kujua kazi maalumu za askari wa kila cheo(JWTZ)

Nahitaji kujua kazi maalumu za askari wa kila cheo(JWTZ)

Achana na wanaokubeza, ingia Google andika jwtz, link ya Kwanza ndio tovuti ya jeshi lako, jeshi liko imara, jeshi halishindwi, kila kitu unachotakiwa kujua raia,kipo hapo. Nenda kalijue jeshi lako na ujivunie kulindwa na jeshi kamili.
Kama unachazaidi, mawasiliano yapo, andika barua Pepe, piga simu utajibiwa.
 
Ninahitaji kujua mambo kadhaa yanayohusiana na shughuli mbalimbali zinazofanywa na askari wa vyeo tofauti tofauti vya kijeshi.Kuanzia cheo cha chini kabisa mpaka cha mwisho.Namaanisha majukumu ya kila siku.Mfano ukipita lugalo unaweza kuwakuta kuruta wanafyeka nyasi sijui kazi zao ndio za aina hiyo hizo kila siku?

Na katika medani za kivita ni askari wa vyeo gani huwa wanaingia kwenye uwanja wa vita kwa maana ya kushiriki vita na sio wale wapanga mikakati.Nimekuwa nikisikia askari wa kuanzia nyota moja wanakuwa wanaamrisha kikosi cha watu kadhaa.Askari wa nyota mbili nae ana watu kadhaa zaidi ya wa nyota moja.
Kwenye vita mtandaji mkuu ni coplo na captain, kwa jeshi la polisi kuna mtu anaitwa maja huwa anakuwa na belti imepita kiuoni na nyingine nusubega kuungana na wa kiunoni pia huyu kwa jeshi la polis ndio mtendaji mkuu wa kaz za kila siku. Hayo ndio nayaelewa
 
Achana na wanaokubeza, ingia Google andika jwtz, link ya Kwanza ndio tovuti ya jeshi lako, jeshi liko imara, jeshi halishindwi, kila kitu unachotakiwa kujua raia,kipo hapo. Nenda kalijue jeshi lako na ujivunie kulindwa na jeshi kamili.
Kama unachazaidi, mawasiliano yapo, andika barua Pepe, piga simu utajibiwa.
Nashukuru sana mkuu kwa muongozo wako.Hao wanaojibu kama wamejinyea nitakuwa nawajibu kadri ya mavi yao
 
Daaar pole San jamaa angu ww km unatak kujua majukumu ya hao watu subilia upate nafasi ya kuingia huk ndio utaenda kuyafahamu vizr majukumu Yao saw
 
Daaar pole San jamaa angu ww km unatak kujua majukumu ya hao watu subilia upate nafasi ya kuingia huk ndio utaenda kuyafahamu vizr majukumu Yao saw
Nadhani hata wewe unastahili pole kwa kuwa mtupu kuhusu mada na kutokuja na majibu ya ninachohitaji kufahamu
 
Back
Top Bottom