Nahitaji kukodi vifaa hivi kwa siku moja tu: Friza, Juisi dispensa na jiko la kuchomea nyama

Nahitaji kukodi vifaa hivi kwa siku moja tu: Friza, Juisi dispensa na jiko la kuchomea nyama

kambipopote

Senior Member
Joined
Nov 15, 2010
Posts
122
Reaction score
22
Habari wanajamvi. Nahitaji kukodi Friza, Juisi dispensa na jiko la kuchomea nyama kwa siku moja tu ya tarehe 12/12/2020. Nipo Dar na nitavihitaji kwa ajili ya shughuli Dar.

Tafadhali mwenye navyo tuwasiliane DM.

Shukrani
 
Laki tano unazo nikukodishe vyote vitatu? Usafiri wa kuvifata na kurudisha ni juu yako mimi niko Airport hapa Dar es salaam
 
Back
Top Bottom