Akina nani hao?Ngoja wana waje
Kwanini unakopa?nakushauri usikope Kwa kuweka nyumban,nafuu uombe ndg wakusaidie,kama unataka ujikwamie kiuchumi ili uondokane na mikopo plz njoo inbox,hata Kwa mwana jamii forum anayetaka aondokane na Hali ngumu ya maisha aje inbox tuonyeshane Cha kufanyaWakuu,
Naombeni kujua ABC ili kuweza kupata mkopo katika bank ya CRDB kwa dhamana ya nyumba siitaji kiasi kikubwa kama milioni 8 hivi ningependa kujua masharti yao riba zao kuhusu kurudisha hata wakinipa wiki tatu tu zinatosha nitarudisha zote ila riba nitaiacha pale tu wataponipa huo mkopo then litabaki deni nitamalizia.
Utuambie kwanza wew huna hiyo m8 lakini utaweza kurudisha huo mkopo kwa wiki tatu, tufungue na sisi ni biashara gani unayotegemea kuifanya, ili nami nikupe njia ya kupata mkopo.Wakuu,
Naombeni kujua ABC ili kuweza kupata mkopo katika bank ya CRDB kwa dhamana ya nyumba siitaji kiasi kikubwa kama milioni 8 hivi ningependa kujua masharti yao riba zao kuhusu kurudisha hata wakinipa wiki tatu tu zinatosha nitarudisha zote ila riba nitaiacha pale tu wataponipa huo mkopo then litabaki deni nitamalizia.
Mkopo kwa ajiri ya gari au nini,kama ni biashara ni ipi,ukijichanganya bila utafiti nyumba inakwemda,jiandae kwenda kijijini,kama biashara ina Miaka mingi sawa lakini sio kuanzishaWakuu,
Naombeni kujua ABC ili kuweza kupata mkopo katika bank ya CRDB kwa dhamana ya nyumba siitaji kiasi kikubwa kama milioni 8 hivi ningependa kujua masharti yao riba zao kuhusu kurudisha hata wakinipa wiki tatu tu zinatosha nitarudisha zote ila riba nitaiacha pale tu wataponipa huo mkopo then litabaki deni .
mkuu kwanza asante kwa ushaur ila mi sijikwamui kiuchumi mana tayar nina miradi mingi ila kuna dharura ya haraka na siwez mkopa ndugu ikiwa nina nyumb karibia 8 na zingine hawakai watu na ni mjini sasa nilijenga ili iweje ili zisaidie kwenye shd kama hv miaka 28 ninayo kwa nilipofikia bado sana, na nazijua chocho zote zautafutaj pesa tena za kuingiza hata milion 200 kwa miez 9 ila nina shida ya haraka ndio mana nataka nikope mkuu asante sana kwa ushauriKwanini unakopa?nakushauri usikope Kwa kuweka nyumban,nafuu uombe ndg wakusaidie,kama unataka ujikwamie kiuchumi ili uondokane na mikopo plz njoo inbox,hata Kwa mwana jamii forum anayetaka aondokane na Hali ngumu ya maisha aje inbox tuonyeshane Cha kufanya
Cc hamonizeWakuu kwamba nyie hamkopagi
mkuu hata wakichukua sio kesi hata ukitaka nikukope wewe milion 30 nipe wiki 2 nakurudishia na nyongeza ya milion 20 kama upo tayar njoo pm tena nyumba yangu thaman yake m120 hy bila dalali karibu mkuuMkopo kwa ajiri ya gari au nini,kama ni biashara ni ipi,ukijichanganya bila utafiti nyumba inakwemda,jiandae kwenda kijijini,kama biashara ina Miaka mingi sawa lakini sio kuanzisha
kama una hiyo m8 njoo pm nikufundishe watu wanavyotafuta hela tena we ukinipa hata m6 tu nakurudishia m10 ndani ya wiki moja,Utuambie kwanza wew huna hiyo m8 lakini utaweza kurudisha huo mkopo kwa wiki tatu, tufungue na sisi ni biashara gani unayotegemea kuifanya, ili nami nikupe njia ya kupata mkopo.
mkuu kwani bakhesa hakopi? hv unajua kama unaweza miliki vx8 ila kuna siku ukakosa hela ya mafuta?Kama unauwezo wakulipa ndani ya wiki3 hakuna haja ya kukopa, mwenye uwezo wa kuweza kulipa deni la milioni8 na riba yake huyo siyo wakukopa anajiweza.
Nyumba ya 120m alafu unadai zipo center na bado unazo nyingi then usijue Abc kuhusu mikopo dah hii kweli chai.mkuu hata wakichukua sio kesi hata ukitaka nikukope wewe milion 30 nipe wiki 2 nakurudishia na nyongeza ya milion 20 kama upo tayar njoo pm tena nyumba yangu thaman yake m120 hy bila dalali karibu mkuu
asante kwa ufafanuz ngoja nitafute dalali niiuze mambo yasiwe mengiMkuu Benki hawawezi kukukopesha simply tu unamiliki nyumba hata kama ina hati.
Watataka kuona mzunguko wako wa fedha lets say benki statement yako ya angalau miezi 6, leseni hai biashara ya angalau miezi 6
sijawah kukopa wala kuweka hela bank mi ni muwekezaj wa vitu mfano leo nimepata m7 na nunua miti naiacha then naiuza ikiwa imevunwa kama mbao hela niipatayo nanunua miti mingine faida najenga najenga nyumba kwa mwaka naweza hata jenga nyumba 5 pasipo hela yangu kwenda huko bank kwa mzunguko huo unaweza kaa na cash na ikaenda bankNyumba ya 120m alafu unadai zipo center na bado unazo nyingi then usijue Abc kuhusu mikopo dah hii kweli chai.