Nahitaji kukopa benki ya CRDB kwa dhamana ya nyumba

Nahitaji kukopa benki ya CRDB kwa dhamana ya nyumba

Wakuu,

Naombeni kujua ABC ili kuweza kupata mkopo katika bank ya CRDB kwa dhamana ya nyumba siitaji kiasi kikubwa kama milioni 8 hivi ningependa kujua masharti yao riba zao kuhusu kurudisha hata wakinipa wiki tatu tu zinatosha nitarudisha zote ila riba nitaiacha pale tu wataponipa huo mkopo then litabaki deni nitamalizia.
Wee jamaa!! RIBA ndo manake ilikatazwa!!!,,,nilishuhudia ndugu yangu kakopa bank moja hapa dsm sitaki kuitaja,aliweka dhamana ya nyumba yenye thamani ya millioni 52,akachukua mkopo wa millioni 14 ili aboreshe biashara yake iliyokuwa ikiyumba,sasa basi kila akiwa anataka kurejesha,mara mama mkwe kafa,na yeye ndo tegemeo ukweni,akagharimia msiba baada ya kwenda kuchonga na loan officer kimtindo ili riba iminywe,kumbe mwenzake anakaza, baada ya msiba akawa anasubiri mkaa wake aliokuwa akiuchoma kisarawe kijangili auze apate fungu arudishe kiasi cha riba na kingine aboreshe biashara,kudadeki,,mali asili wakakamata!!!!,,,,,da!!! hajakaa saw jamaa wa benki wankamwonyesha mahesabu yake,kuna mpaka COMPAUND INTEREST,,,,,da!!!! mara paaaaaaaaaaaaaaaaaaap!!! jamaa kapata stroke,hajakaa sawa BANK wakaja kupiga mnada!!! mzee wa wa2 akadanji,kaacha familia inapigika vibaya!!! mkewe kawa KIGODORO CHA MASELA!!!...achana na hiyo ki2 man,,,shukuru unapakulala wewe na familia yako man,,,kama ngoma ngumu,tafuta meza sehemu choma ata mahindi!!! "SHAURI YAKO"
 
Nyumba ya 120m alafu unadai zipo center na bado unazo nyingi then usijue Abc kuhusu mikopo dah hii kweli chai.
Ana nyumba nane kati ya hizo kuna ya mil 120 lakini kuipata milioni 8 kupitia bank hajui hadi kaja huku JF kuomba ushauri sijajua utapeli huu tutauacha lini
 
mkuu hata wakichukua sio kesi hata ukitaka nikukope wewe milion 30 nipe wiki 2 nakurudishia na nyongeza ya milion 20 kama upo tayar njoo pm tena nyumba yangu thaman yake m120 hy bila dalali karibu mkuu
Mbona matambo mengi na huku 8m inakupiga chenga huna watu wa karibu wanaokuamini wakupitie hicho kiasi? Mpaka ukawalete maafisa wa benki kwenye nyumba zako uwaonyeshe ndo upewe 8m?
 
Ukiomba mkopo leo, process zote zinaweza kukuchukua mwezi kukamilisha ...
1: bank statement ya biashara yako
2: Hati ya nyumba ikiwa haina deni na wataenda kuhakiki wizarani kama unadeni utalipa kwanza
3: Picha yako na mkeo mkiwa kwenye hio nyumba na isiwe ambayo unakaa na familia yako, NIDA zenu wote wawili pamoja na passport zenu
4: cheti cha ndoa yako
5: Utasaini form za mkopo wewe na mkeo
6: passport zenu wote wawili
7: Afisa mikopo anatakiwa aje kuhakiki mali yako ukiwepo na akahakikishe serikali ya mtaa
8: Utapewa form za kupeleka kwa mjumbe na mwenyekiti ili wasign na wagonge muhuri
9: Hela ikiingia wanakata bima ya nyumba na vimakato vingine alafu na afisa mkopo ataomba kidogo
Hii ni kwa NMB..CRDB sina uzoefu lkn nadhan wanafanana
 
Wee jamaa!! RIBA ndo manake ilikatazwa!!!,,,nilishuhudia ndugu yangu kakopa bank moja hapa dsm sitaki kuitaja,aliweka dhamana ya nyumba yenye thamani ya millioni 52,akachukua mkopo wa millioni 14 ili aboreshe biashara yake iliyokuwa ikiyumba,sasa basi kila akiwa anataka kurejesha,mara mama mkwe kafa,na yeye ndo tegemeo ukweni,akagharimia msiba baada ya kwenda kuchonga na loan officer kimtindo ili riba iminywe,kumbe mwenzake anakaza, baada ya msiba akawa anasubiri mkaa wake aliokuwa akiuchoma kisarawe kijangili auze apate fungu arudishe kiasi cha riba na kingine aboreshe biashara,kudadeki,,mali asili wakakamata!!!!,,,,,da!!! hajakaa saw jamaa wa benki wankamwonyesha mahesabu yake,kuna mpaka COMPAUND INTEREST,,,,,da!!!! mara paaaaaaaaaaaaaaaaaaap!!! jamaa kapata stroke,hajakaa sawa BANK wakaja kupiga mnada!!! mzee wa wa2 akadanji,kaacha familia inapigika vibaya!!! mkewe kawa KIGODORO CHA MASELA!!!...achana na hiyo ki2 man,,,shukuru unapakulala wewe na familia yako man,,,kama ngoma ngumu,tafuta meza sehemu choma ata mahindi!!! "SHAURI YAKO"
.
 
We kijana acha kuchekesha watu,yaani una nyumba Tena ziko centa,halafu hujuwi taratibu bank ili upate mkopo?
 
Ana nyumba nane kati ya hizo kuna ya mil 120 lakini kuipata milioni 8 kupitia bank hajui hadi kaja huku JF kuomba ushauri sijajua utapeli huu tutauacha lini
😅😅😅 Bilionea wa kwanza kuona anaomba utaratibu kupata m8 kutoka bank.
 
sijawah kukopa wala kuweka hela bank mi ni muwekezaj wa vitu mfano leo nimepata m7 na nunua miti naiacha then naiuza ikiwa imevunwa kama mbao hela niipatayo nanunua miti mingine faida najenga najenga nyumba kwa mwaka naweza hata jenga nyumba 5 pasipo hela yangu kwenda huko bank kwa mzunguko huo unaweza kaa na cash na ikaenda bank
Hamna kitu kama hiyo Mr Pipa we fanya jambo moja… Tulia mwanetu.
 
Wakuu,

Naombeni kujua ABC ili kuweza kupata mkopo katika bank ya CRDB kwa dhamana ya nyumba siitaji kiasi kikubwa kama milioni 8 hivi ningependa kujua masharti yao riba zao kuhusu kurudisha hata wakinipa wiki tatu tu zinatosha nitarudisha zote ila riba nitaiacha pale tu wataponipa huo mkopo then litabaki deni nitamalizia.
Nidm tufanye biashara nitakupa 8M
 
Yani nyumba ya million 120 harafu unaiwekea kukopa million 8 wewe hauna hakiri kabisa
 
Back
Top Bottom