mgombea uvccm2017
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 505
- 376
Uwamuzi mzuriWanasheria mlioko humu naombeni msaada
Nahitaji kumfungulia Makonda mashtaka kwa makosa ya kumtuhumu Wilson Kabwe bila ushahid
Kuwa aliingia mkataba wa kifisaidi ubungo
Na pia kumdharirisha hadharani kuwa ni fisadi bila kuwa na ushahidi!
Wanasheria msaada wenu nauhitaji pm ili nijue hatua nazotakiwa kufata na sheria italavyonilinda
Ahsanteni
Kwa kifupi soma section 9 yote katika sheria hii: THE LAW REFORM (FATAL ACCIDENTS AND MISCELLANEOUS PROVISIONS) ACT. Unaweza pata majibu hapo kama wewe ni msomi! Good luck!Wanasheria mlioko humu naombeni msaada
Nahitaji kumfungulia Makonda mashtaka kwa makosa ya kumtuhumu Wilson Kabwe bila ushahid
Kuwa aliingia mkataba wa kifisaidi ubungo
Na pia kumdharirisha hadharani kuwa ni fisadi bila kuwa na ushahidi!
Wanasheria msaada wenu nauhitaji pm ili nijue hatua nazotakiwa kufata na sheria italavyonilinda
Ahsanteni
NinaoSi mpaka wewe uwe na ushahidi sasa kwamba hakuwa fisadi, unao?
Asante sanaKwa kifupi soma section 9 yote katika sheria hii: THE LAW REFORM (FATAL ACCIDENTS AND MISCELLANEOUS PROVISIONS) ACT. Unaweza pata majibu hapo kama wewe ni msomi! Good luck!
Kabwe alikanusha. Unajuaje labda Makonda alionyeshwa kitu fake! Vyote vinawezekana!Makonda alisema wazi kauona mkataba uliosainiwa na kabwe, sasa wewe unapinga huo mkataba umeuona!!!??
Wewe unatoka Bukoba sehemu gani mbona hueleweki kama nshomile wenzako! Next time nitakutukana enzala bantu!Anza kuwashtaki tundu lisu. Lema..Msigwa kwa kumtukana Lowasa ni fisadi kwa miaka nane
Mimi naamini kuwa makonda alijilidhisha vya kutosha kabla hajaamua kulitangaza lile swala. Harafu ingekuwa ngumu kwa kabwe kukili hilo kosaKabwe alikanusha. Unajuaje labda Makonda alionyeshwa kitu fake! Vyote vinawezekana!
Mtafute Tundu Lissu yeye ndiye wakili wa majipu.Wanasheria mlioko humu naombeni msaada
Nahitaji kumfungulia Makonda mashtaka kwa makosa ya kumtuhumu Wilson Kabwe bila ushahid
Kuwa aliingia mkataba wa kifisaidi ubungo
Na pia kumdharirisha hadharani kuwa ni fisadi bila kuwa na ushahidi!
Wanasheria msaada wenu nauhitaji pm ili nijue hatua nazotakiwa kufata na sheria italavyonilinda
Ahsanteni
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji83] [emoji83]Hii generation ya kuning'inia na sukari ni shida sana. Na ndio maana ni rare kwa wenzetu waliofikia maendeleo kuona vijana wanamaliza masomo wanakimbilia siasa iwe ajira. Short cut ya kimaisha.
Sasa hata kama ni defamation of character, mahakama itaangalia wewe umepata athari gani? Sasa wewe umeathirika vipi na Kabwe!. Au ni mkewe?
Anza kuwashtaki tundu lisu. Lema..Msigwa kwa kumtukana Lowasa ni fisadi kwa miaka nane