mgombea uvccm2017
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 505
- 376
Wanasheria mlioko humu naombeni msaada
Nahitaji kumfungulia Makonda mashtaka kwa makosa ya kumtuhumu Wilson Kabwe bila ushahid
Kuwa aliingia mkataba wa kifisaidi ubungo
Na pia kumdharirisha hadharani kuwa ni fisadi bila kuwa na ushahidi!
Wanasheria msaada wenu nauhitaji pm ili nijue hatua nazotakiwa kufata na sheria italavyonilinda
Ahsanteni
Nahitaji kumfungulia Makonda mashtaka kwa makosa ya kumtuhumu Wilson Kabwe bila ushahid
Kuwa aliingia mkataba wa kifisaidi ubungo
Na pia kumdharirisha hadharani kuwa ni fisadi bila kuwa na ushahidi!
Wanasheria msaada wenu nauhitaji pm ili nijue hatua nazotakiwa kufata na sheria italavyonilinda
Ahsanteni