Nahitaji kumfungulia mashtaka Makonda

Nahitaji kumfungulia mashtaka Makonda

bavicha huu uzi umekaa kimtego msiufakamie nawapa signal mapema.
 
Ni kwa sababu nina ushahid pia kuwa Kabwe hahusiki


Sio kila ushahidi ni USHAHIDI kisheria. Isije kuwa una 'fununu' tu kama za Young Dee.

So, target yako hasa ni ipi: kumshtaki Makonda as an individual (on personal basis)? ama kuishtaki Serikali ?


-Kaveli-
 
Karibuni sana
Unataka ushahidi upi?
Kuna mikataba miwili
Wa kwanza mkandarasi alitakiwa alipe milioni 40 kwa mwezi
Baada baraza la madiwani likapandisha viwango,mzabuni akatakiwa alipe milioni 80 kwa mwezi na nkataba ulisainiwa
Kilichogundulika,ambacho hata kabwe alishindwa kutoa majibu ni kuwa,mzabuni alikua analipa kwa mkataba wa pili,milioni 80 kwa mwezi,lakini jiji linapokea kwa kutumia mkataba wa zamani yaani milioni 40 kwa mwezi
Labda kama makonda kachukua bibi yako lakini kwa hili yupo safi,kwanza si yeye ni tume maalum ndio ilitoa ripoti hiyo
 
Unataka ushahidi upi?
Kuna mikataba miwili
Wa kwanza mkandarasi alitakiwa alipe milioni 40 kwa mwezi
Baada baraza la madiwani likapandisha viwango,mzabuni akatakiwa alipe milioni 80 kwa mwezi na nkataba ulisainiwa
Kilichogundulika,ambacho hata kabwe alishindwa kutoa majibu ni kuwa,mzabuni alikua analipa kwa mkataba wa pili,milioni 80 kwa mwezi,lakini jiji linapokea kwa kutumia mkataba wa zamani yaani milioni 40 kwa mwezi
Labda kama makonda kachukua bibi yako lakini kwa hili yupo safi,kwanza si yeye ni tume maalum ndio ilitoa ripoti hiyo
Una uhakika?
 
Kabwe alikanusha anyway


Kwahiyo ulitegemea KABWE akiri kwamba ''ooh watanzania wenzagu, ni kweli kabsa nilipiga huo mpunga'' eeh?

BTW... kwanini unaamini haraka 'kukanusha' kwake na hauamini tuhuma husika?
au tatizo ni 'muibua tuhuma' ?

-Kaveli-
 
Kwahiyo ulitegemea KABWE akiri kwamba ''ooh watanzania wenzagu, ni kweli kabsa nilipiga huo mpunga'' eeh?

BTW... kwanini unaamini haraka 'kukanusha' kwake na hauamini tuhuma husika?
au tatizo ni 'muibua tuhuma' ?

-Kaveli-
Uko sahihi! Mahakama then itatoa uhakika! Huwezi amini Tuhuma, they should be put to test, likewise, huwezi amini kukanusha until put to test
 
Uko sahihi! Mahakama then itatoa uhakika! Huwezi amini Tuhuma, they should be put to test, likewise, huwezi amini kukanusha until put to test


Bravo for being a great thinker. Hapo sasa we are on the same line of thinking.

-Kaveli-
 
Huwezi ona kilicho sababisha kifo chake ni wasiwasi na kihoro kwamba sasa anachunguzwa na yeye ana uhakika kwamba alihusika kwa namna moja au nyingine? Nina hakika kama Sutra angekuwa safi wala asingezidiwa ghafla. Ukitaka kuamini ushahidi pasi na shaka ni mmbaya, muulize mzee wa kula malimao. Kila akiitwa na Kova lazima azidiwe na kuzilai
 
Hii generation ya kuning'inia na sukari ni shida sana. Na ndio maana ni rare kwa wenzetu waliofikia maendeleo kuona vijana wanamaliza masomo wanakimbilia siasa iwe ajira. Short cut ya kimaisha.
Sasa hata kama ni defamation of character, mahakama itaangalia wewe umepata athari gani? Sasa wewe umeathirika vipi na Kabwe!. Au ni mkewe?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38]
 
Nashangaa siku hizi wana CCM tuna vijana wasiojitambua kama wewe mliojaa kwenye mitandao ya kijamii badala ya kujibu hoja mnabaki kurukaruka sijui tutafika? Hamia kwa wazungusha mikono ndiyo wenye tabia za kishoga kama zako

Kuandika tu HUJUI utaweza kushindana na UWEZO wangu wa AKILI niliojaaliwa nayo na MAULANA? Ukweli ni kwamba CCM hatuna WAPUMBAVU wa aina yako period.
 
Kuandika tu HUJUI utaweza kushindana na UWEZO wangu wa AKILI niliojaaliwa nayo na MAULANA? Ukweli ni kwamba CCM hatuna WAPUMBAVU wa aina yako period.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] kwahiyo wakiitwa wenye akili utasimama? Taahira kabisa! Uwe unapitia post zako mara mbili ujione ulivyo pumba kabisa!
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] kwahiyo wakiitwa wenye akili utasimama? Taahira kabisa! Uwe unapitia post zako mara mbili ujione ulivyo pumba kabisa!

Ningekuwa PUMBA nisingetengeneza MIKAKATI kadhaa iliyomwezesha aliyepo sasa kuwa hapo ALIPO. You're such a pathetic dull on earth. Watafute Wana UVCCM wenzako hasa wale WAKUU wako WANANIJUA fika na WANAIJUA hii ID. Na laiti kama ungejua kuwa kuwepo Kwangu humu nako ni MKAKATI usingepayuka hivyo. Nenda KAJIFUNZE vizuri SIASA kwani huzijui na hutazijua. Wewe kuwemo UVCCM ndiyo umeona UMEMALIZA? Nimeanza kuijua CCM tokea enzi zake Hayati Babu yangu Mwalimu Nyerere na hizi ID zisikudanganye na huna UNACHOKIJUA. Wenzako sasa tunawaza KUKIJENGA chama Wewe unaleta UPUUZI wako eti unataka KUMSHITAKI Makonda. Na mwaka 2017 hakutakuwa na Uchaguzi tunasogeza mbele sijui utagombea na MATAHAIRA wenzako au? Naona unataka LIGI na Mimi na sasa nipo KAMILI gado na naweza kuwemo humu 24 hrs bila kuchoka halafu AKAUNTI yangu inajaa tu sasa sijui KAPUKU Wewe kama ukikaa humu zaidi ya nusu saa tu ijayo utaingiza income yoyote.
 
Ningekuwa PUMBA nisingetengeneza MIKAKATI kadhaa iliyomwezesha aliyepo sasa kuwa hapo ALIPO. You're such a pathetic dull on earth. Watafute Wana UVCCM wenzako hasa wale WAKUU wako WANANIJUA fika na WANAIJUA hii ID. Na laiti kama ungejua kuwa kuwepo Kwangu humu nako ni MKAKATI usingepayuka hivyo. Nenda KAJIFUNZE vizuri SIASA kwani huzijui na hutazijua. Wewe kuwemo UVCCM ndiyo umeona UMEMALIZA? Nimeanza kuijua CCM tokea enzi zake Hayati Babu yangu Mwalimu Nyerere na hizi ID zisikudanganye na huna UNACHOKIJUA. Wenzako sasa tunawaza KUKIJENGA chama Wewe unaleta UPUUZI wako eti unataka KUMSHITAKI Makonda. Na mwaka 2017 hakutakuwa na Uchaguzi tunasogeza mbele sijui utagombea na MATAHAIRA wenzako au? Naona unataka LIGI na Mimi na sasa nipo KAMILI gado na naweza kuwemo humu 24 hrs bila kuchoka halafu AKAUNTI yangu inajaa tu sasa sijui KAPUKU Wewe kama ukikaa humu zaidi ya nusu saa tu ijayo utaingiza income yoyote.
amahoro kayumba,aisee hadi nimetetemeka
 
let the dead rest in peace. tuweni na utu kidogo, fikiria machungu ya familia ya marehemu kila siku muwe mnakumbusha Kabwe hiki Kabwe kile. Katika kufurahisha baraza ama kuonekana wenye akili nyingi tukumbuke pia marehemu ana familia yenye machungu kwa sasa na si kila kitu kitumike kama silaha ya kisiasa.
 
Ningekuwa PUMBA nisingetengeneza MIKAKATI kadhaa iliyomwezesha aliyepo sasa kuwa hapo ALIPO. You're such a pathetic dull on earth. Watafute Wana UVCCM wenzako hasa wale WAKUU wako WANANIJUA fika na WANAIJUA hii ID. Na laiti kama ungejua kuwa kuwepo Kwangu humu nako ni MKAKATI usingepayuka hivyo. Nenda KAJIFUNZE vizuri SIASA kwani huzijui na hutazijua. Wewe kuwemo UVCCM ndiyo umeona UMEMALIZA? Nimeanza kuijua CCM tokea enzi zake Hayati Babu yangu Mwalimu Nyerere na hizi ID zisikudanganye na huna UNACHOKIJUA. Wenzako sasa tunawaza KUKIJENGA chama Wewe unaleta UPUUZI wako eti unataka KUMSHITAKI Makonda. Na mwaka 2017 hakutakuwa na Uchaguzi tunasogeza mbele sijui utagombea na MATAHAIRA wenzako au? Naona unataka LIGI na Mimi na sasa nipo KAMILI gado na naweza kuwemo humu 24 hrs bila kuchoka halafu AKAUNTI yangu inajaa tu sasa sijui KAPUKU Wewe kama ukikaa humu zaidi ya nusu saa tu ijayo utaingiza income yoyote.
Hayo maneno tu hata kwenye kanga yapo! Ungekuwa unajitambua michango yako ingeonekana yenye akili humu kuliko pumba unazoziandikaga humu! Acha kutuharibia taswira ya chama kwa upuuzi wako
 
Hayo maneno tu hata kwenye kanga yapo! Ungekuwa unajitambua michango yako ingeonekana yenye akili humu kuliko pumba unazoziandikaga humu! Acha kutuharibia taswira ya chama kwa upuuzi wako

Taswira ya CHAMA inaharibiwa na Wewe " JUHA " na siyo GENTAMYCINE na laiti kama ningekuwa naharibu taswira ya Chama nisingezunguka nchi nzima mwaka jana wakati wa KAMPENI ili nimpiganie MSUBI atuongoze. Na kwa taarifa yako na kwa faida ya wengine Mtu pekee ambaye NILIKATAA KATA KATA KUPEWA FADHILA YOYOTE BAADA YA KUFANIKISHA LILILO FANIKIWA NI Mimi GENTAMYCINE peke yangu kwani NILIWAAMBIA KUWA NAFANYA YOTE YALE KWA UZALENDO MKUBWA WA NCHI na CHAMA CHANGU CHA CCM hivyo kulipwa FADHILA ingekuwa kama vile NAMTUSI Hayati Babu yangu aliyelala pale MWINTONGO na najua ANGENILAANI. Mimi ni CCM MAKINI na siyo CCM " JUHA ". Umeshaona WAZANAKI tunapenda VYEO au tuna TAMAA ya MADARAKA? Sisi tunaridhika na KILICHOPO na hatuna MAKUU ila tumebarikiwa VICHWANI.
 
Back
Top Bottom