Nahitaji kuongeza mwili (Kunenepa)

Nahitaji kuongeza mwili (Kunenepa)

Kula matunda kwa wingi hasa parachichi, mboga mboga za majani, samaki kwa wingi ila nyama na wanga kiasi( isiwe sana), japo mimi sio mtumiaji ila kuna kitoweo flani hivi ningeshauri ila isivyo bahati kwa wengi ni haramu. hivyo tubakie humu humu tu
 
Kula matunda kwa wingi hasa parachichi, mboga mboga za majani, samaki kwa wingi ila nyama na wanga kiasi( isiwe sana), japo mimi sio mtumiaji ila kuna kitoweo flani hivi ningeshauri ila isivyo bahati kwa wengi ni haramu. hivyo tubakie humu humu tu

Hicho kitoweo nimeshakijua [emoji23]
 
Rahisi sanaa
Kula protein kwa wingi ikiwezekana kila siku kula mayai 10 pekee ya kukaanga

Punguza sex

Lala sanaaa mchana lalaa mno
Week mbili kama hujanenepa utakuwa ulikula rambo [emoji23]

Nice advice [emoji106]
 
Kula chakula aina ya protini kwa wingi
Kama nyama, maharage,njegere, samaki,dagaa , mayai

unakua na uzito wa kadri yaani sio uzito pungufu au uzito mkubwa
 
Punguza stress,chuki na wivu kwa wengine,kisha fanya hivyi hakikisha unakula zaidi ya mara 4 kwa siku na ule ushibe,vyakula vya protein hasa hasa maziwa,nyama mayai,kama unakunywa pombe hakikisha kila siku kabla ya kulala kunywa beer sio zile pombe kali,pia hakikisha unalala sio chini ya masaa 7 kwa siku.
 
Back
Top Bottom