ngaboru
JF-Expert Member
- Mar 3, 2016
- 2,069
- 5,411
😂😂😂Uvivu ndio laana yenyewe maana inaama kizazi kwa kizazi bado jamii nyingi za watu weusi azijashtuka compared to igbo,kikuyu and chaggas in tz few to mention.Hakuna laana Bali tangu mwanzo msingi uliwekwa kwenye uvivu, utegemezi yaani waliopaswa kujenga watu kwenye msingi wa nguvu ya mtu wao waliwajenga kwenye utegemezi ili nawao waje kunufaika na utegemezi huo, mfano jinsia ya kike isisome ili ikatumike kuleta mali kwenye familia kiasi Cha jamii ya kike kuwa dhaifu wa uchumi lakini wangepewa maarifa na kupata nguvu au energy ya kutoa maamuzi ya maana na kuwa na uchumi mambo yangejengeka vizuri, haya jinsia ya kiume ikapewa mfumo wa uvivu yaani utanwa wa kufanyiwa kila kitu hata mtoto mdogo akiwa wa kiume asijiweze kwa chochote katika ngazi ya familia kitu kilichopeleka uvivu ofisini na kwenye kazi kiasi Cha kuchagua kazi za kukaa tu ndo zinapendwa wakati wenzetu hawalali yaani kazi zinafanywa saa 24 kama ni shift basi zitapangwa, imagine mpaka kijana wa kiume kutamani kuwa wa kike ili awe mvivu na asiwe na uwezo wa kujenga Bali asubiri kujengewa, wenzetu miaka kumi na nane ni mtu mzima mwenye maamuzi maana amejengwa katika ability ya kufanya mambo na siyo kufanyiwa lakini sisi baba wa miaka 50 Bado anajidekeza eti jamani wazazi hawanisaidii au watoto hawanipi hela na ukiangalia Nini kilimkwamisha ni ujinga tu aliyokuwa anafanya hasa kuchezea muda wa shule au starehe kwa sana au kuishi bila mipango ya baadaye, Uvivu, Uvivu, Uvivu ndo tatizo la Afrika.
Kuna mahali niliwahi kusoma kwamba wavivu ni wagunduzi wazuri sanaa i.e viti vya matairi maofisini kwa nini sisi Uvivu wetu hauna tija.....jibu ni laaana.